Maajabu Busanda

Kamende

JF-Expert Member
Mar 1, 2008
416
45
Wakuu ninaleta jukwaani habari ambayo kama hujaisikia kutoka eneo la tukio ni lazima uwe na mashaka na uwezekano wa tukio husika.

Leo kulikuwepo mkutano wa hadhara huko jimboni Busanda ambako Mhe. Bukwimba mbunge wa jimbo hilo aliandaliwa kuhutubia wananchi wa kata ya Katoro jimboni mwake.

Mkutano ulianza saa 10.20 jioni kwa Mhe. Diwani wa Viti Maalum Maimuna Minasi kutoa hotuba ya utangulizi na hatimaye kumkaribisha Mhe. Lolesia Bukwimba yapata saa 11.00 kamili.

Wakati Bukwimba akihutubia lilionekana wingu dogo likitanda angani na hatimaye likakusanyika na kuwa kubwa. Mvua ilianza kidogo kidogo na hatimaye radi kubwa ilianguka juu ya mti kulikokuwa kumetundikwa bendera ya CHADEMA. Radi ile iliangusha bendera ya CHADEMA na ilipofika chini iliwaka moto ikateketea.

Wananchi kuona hivyo walianza kuzomea kwa sauti kubwa na kusababisha mkutano kuvunjika.

Haijaeleweka rasmi nini hasa kimesababisha radi hiyo?
Bado hatujajua kwa nini radi ipige bendera peke yake?
Na ni kwa nini iwake moto?
 
Wakuu ninaleta jukwaani habari ambayo kama hujaisikia kutoka eneo la tukio ni lazima uwe na mashaka na uwezekano wa tukio husika.

Leo kulikuwepo mkutano wa hadhara huko jimboni Busanda ambako Mhe. Bukwimba mbunge wa jimbo hilo aliandaliwa kuhutubia wananchi wa kata ya Katoro jimboni mwake.

Mkutano ulianza saa 10.20 jioni kwa Mhe. Diwani wa Viti Maalum Maimuna Minasi kutoa hotuba ya utangulizi na hatimaye kumkaribisha Mhe. Lolesia Bukwimba yapata saa 11.00 kamili.

Wakati Bukwimba akihutubia lilionekana wingu dogo likitanda angani na hatimaye likakusanyika na kuwa kubwa. Mvua ilianza kidogo kidogo na hatimaye radi kubwa ilianguka juu ya mti kulikokuwa kumetundikwa bendera ya CHADEMA. Radi ile iliangusha bendera ya CHADEMA na ilipofika chini iliwaka moto ikateketea.

Wananchi kuona hivyo walianza kuzomea kwa sauti kubwa na kusababisha mkutano kuvunjika.

Haijaeleweka rasmi nini hasa kimesababisha radi hiyo?
Bado hatujajua kwa nini radi ipige bendera peke yake?
Na ni kwa nini iwake moto?

Yeah kweli ni maajabau aisee, lakini kisayansi inaelezeka---- Ngoja wataalamu wa fizikia na umeme watupe elimu aisee; kwani wewe Kamende hujawahi sikia radi imepiga mti, au mtu au kitu chochote??
 
... Mvua ilianza kidogo kidogo na hatimaye radi kubwa ilianguka juu ya mti kulikokuwa kumetundikwa bendera ya CHADEMA. Radi ile iliangusha bendera ya CHADEMA na ilipofika chini iliwaka moto ikateketea.

Wananchi kuona hivyo walianza kuzomea kwa sauti kubwa na kusababisha mkutano kuvunjika.

Isijekuwa ni kombora alitumiwa Mh. Mbunge likakosea shbaha? hapa ukumbini JF makada wa Chadema wako wengi labda wataleta ufafanuzi wa hii sayansi mpya.
 
Kwa kifupi radi hupiga the highest objects above the sea level...si jambo la kushangaa..Kwani wewe ulitegemea ipige nini?labda ueleze.
 
Kule kwenye jokes/utani na mazagazaga mengine, kuna bandiko la nyepesi nyepesi, inafaa ukaitume huko
 
Wakuu ninaleta jukwaani habari ambayo kama hujaisikia kutoka eneo la tukio ni lazima uwe na mashaka na uwezekano wa tukio husika.

Leo kulikuwepo mkutano wa hadhara huko jimboni Busanda ambako Mhe. Bukwimba mbunge wa jimbo hilo aliandaliwa kuhutubia wananchi wa kata ya Katoro jimboni mwake.

Mkutano ulianza saa 10.20 jioni kwa Mhe. Diwani wa Viti Maalum Maimuna Minasi kutoa hotuba ya utangulizi na hatimaye kumkaribisha Mhe. Lolesia Bukwimba yapata saa 11.00 kamili.

Wakati Bukwimba akihutubia lilionekana wingu dogo likitanda angani na hatimaye likakusanyika na kuwa kubwa. Mvua ilianza kidogo kidogo na hatimaye radi kubwa ilianguka juu ya mti kulikokuwa kumetundikwa bendera ya CHADEMA. Radi ile iliangusha bendera ya CHADEMA na ilipofika chini iliwaka moto ikateketea.

Wananchi kuona hivyo walianza kuzomea kwa sauti kubwa na kusababisha mkutano kuvunjika.

Haijaeleweka rasmi nini hasa kimesababisha radi hiyo?
Bado hatujajua kwa nini radi ipige bendera peke yake?
Na ni kwa nini iwake moto?
"Hivi ni vituko uswahilini,e bwana wee,Uswahilini kuna vituukoo"-Suma G,msanii wa Bongo fleva
 
Hivi ni vitisho kwa uchaguzi mkuu mwakani.
Huenda CHADEMA inatishiwa ili wapunguze kasi.
Kaza mwendo CHADEMA,
 
kwa kawaida radi huwa inapiga the highest target, kama hiyo bendera ndio ilikuwa juu kuliko vyote inawezekana ikawa ni natural
 
Science kama hizi wenzetu wanatumia kwenye construction, sisi tunatumia kwenye destruction. Stori kama hizi wazee wa zamani walikuwa wanazijua sana. na kwa upande wa wabunge na wanasiasa ni 99.99% ni waumini wa hii science ya uchawi. Kwa sasa scince hii imeingiliwa na matapeli ndiyo maana vitu kama mauaji ya albino vinazuka, ila wataalamu hasa kwa mujibu wa wazee wa zamani nilipata kuongea nao kuhusu hii science wanakwambia sichukui hela kwanza mpaka upate majibu. Radi zinatengezwa na zinatumwa kwa target. Japo kwa sisi waumini tunasema hiyo ni imani za giza.
 
Last edited:
mi nasema safi sana ingekuwa sumbawanga watu mngesimamia ndimi zenu' yawezekana kabisa si uchawi ni jambo la kawaida. Ila ndo hivyo wabongo mnamaind uchawi sana na wote kutwa kwenye nyumba za ibada
 
Tutashuhudia mengi ya ajabu ajabu kuelekea uchaguzi mkuu 2010.Let's wait and see
 
Back
Top Bottom