Kwa mfumo wa kikokotoo kipoHivi waataafu wakishapokea kiinua mgongo kuna hela yoyote bado wanapata kila mwezi?.
200,000,000/=Igweeee!
wanajukwaa wkwa wenye experience na kiinua mgongo katika sekta tajwa anabeba ngapi??
Na je kila mwezi wanapokea Pesa sijui inaitwa pension? kitu kama hicho. Je ni bei gani.
kwa wajuzi tu, kama hujui comment fupi fupi
sio nusu billion200,000,000/=
Hakuna cha uafisa,sasa daraja H nalo ni la mtu kujiita Afisa wakati!? Wakati mtu huyo ni diploma holder ndo maana kashindwa kufikisha daraja IIgweeee!
wanajukwaa wkwa wenye experience na kiinua mgongo katika sekta tajwa anabeba ngapi??
Na je kila mwezi wanapokea Pesa sijui inaitwa pension? kitu kama hicho. Je ni bei gani.
kwa wajuzi tu, kama hujui comment fupi fupi
hapana mkuu pitia mafaili yako vizur. Huyo wa juu sana tena karibia kistaafu. Salary yao ni 2 milion kwenda juuHakuna cha uafisa,sasa daraja H nalo ni la mtu kujiita Afisa wakati!? Wakati mtu huyo ni diploma holder ndo maana kashindwa kufikisha daraja I
😄😆😃😊Hakuna cha uafisa,sasa daraja H nalo ni la mtu kujiita Afisa wakati!? Wakati mtu huyo ni diploma holder ndo maana kashindwa kufikisha daraja I
Ndio hadi atakapoiaga duniaHivi waataafu wakishapokea kiinua mgongo kuna hela yoyote bado wanapata kila mwezi?.
Kwa kikokoroo cha sasa?200,000,000/=
hiyo 200 milioni anapewa mkononi?Inategemea na idadi ya miezi aliyohudumu ktk utumishi wake wa umma,kama ni mingi atapata
Ndio hadi atakapoiaga dunia
Kwa kikokoroo cha sasa?
kweli kabisa kabla sijahama sekta ya elimu tuliajiriwa kama maafisa wasaidizi cheo cha chini kabisa tena tukiwa na diploma.hapana mkuu pitia mafaili yako vizur. Huyo wa juu sana tena karibia kistaafu. Salary yao ni 2 milion kwenda juu
View attachment 3555264
kwa sheria za Tanzania afisa ni mhitimu katika level ya elimu ya juu na muajiriwa serikalini
mkuu ni cash benk au ndio unapewa kidogokidogo200,000,000/=