Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani | Ruanda Mnzomve, Mbeya

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Leo ni Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Mbeya katika viwanja vya Ruanda Nzomve.
Mgeni Rasmi katika Maadhimisho hayo ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan Suluhu.

Miongoni mwa wageni walio fika katika viwanja hivyo ni waziri mkuu Mh. Majaliwa kassim Majaliwa, Naibu spika Dkt Tulia Ackson, mawaziri na manaibu mawaziri, Balozi wa Marekani nchini na wageni wengine.

Updates
Naibu spika Dkt Tulia Ackson ameingia katika uwanja wa Maadhimisho.

Waziri wa Afya Dorothy Gwajima ameingia pia uwanjani hapo.

Mkuu wa mkoa wa mbeya anaongoza msafara kwa ajira ya kumpokea mgeni Rasmi.

Waziri mkuu Majaliwa ameingia uwanjani akepikelewa na jenister muhagama wakiambatana na Naibu spika Dkt Tulia Ackson.


Burudani:
Kikundu cha Ngoma za Asili kikiambatana na wana sarakasi kinaingia kutumbuiza.

Pia Msanii wa nyimbo za Asili almaarufu kana Awilo anatumbuisha.

Msanii wa Bongo fleva nchini ambae pia ni mwenyeji wa Mbeya Rayvanny ameingia kutumbuiza katika viwanja vya eneo la tukio akisindikizwa na mchungaji Emmanuel Mgaya (Masanja Mkandamizaji).
 
Bilashaka wale wote wanao hudhuria ktk maadhimisho hayo ni wale wanao ishi na VIRUSI VYA UKIMWI.
 
Ni waishio na wasio ishi na maambukizi.
Swala kubwa ni kupata Elimu
Lakini ni muhimu zaidi wale walio ambukizwa na wanao ishi na VVU.
nimesikiliza yule Mama anaye ishi na maambukizi ya vvu ni hatari sana!!

ARV zinachangia zaidi maambukizi ya UKIMWI...ni bora hali ingebakia vilevile ili kila muathirika atambulike ili kupunguza maambukizi mapya.
 
Nimesikia PM akisema
Rais Samoa Hoyeeeee!
Dr Mpango Hoyeeeeee!
Nini tafsiri yake
 
Lakini ni muhimu zaidi wale walio ambukizwa na wanao ishi na VVU.
nimesikiliza yule Mama anaye ishi na maambukizi ya vvu ni hatari sana!!

ARV zinachangia zaidi maambukizi ya UKIMWI...ni bora hali ingebakia vilevile ili kila muathirika atambulike ili kupunguza maambukizi mapya.
usije jaribu kurudia kauli hii, maana huijui kesho yako wewe pamoja na familia yako wakiwemo wanao na hao unaotarajia kuwazaa.

na huo ukimwi kuupata sio lazma ufanye sex.

na unaweza kuondoka duniani muda wowote na kumwacha mwenye ukimwi akiendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa.

ARV zinawasaidia sana msizizarau wala msiwazarau. Mpaka kuelekea mwanzoni na katikati ya mwaka 2022 dawa ya ukimwi itakua ishapatikana na watu watapona kabisa.
 
Lakini ni muhimu zaidi wale walio ambukizwa na wanao ishi na VVU.
nimesikiliza yule Mama anaye ishi na maambukizi ya vvu ni hatari sana!!

ARV zinachangia zaidi maambukizi ya UKIMWI...ni bora hali ingebakia vilevile ili kila muathirika atambulike ili kupunguza maambukizi mapya.
Huyo mama ukimuangalia yaani huwezi amini kama ana chembe hata moja ya UKIMWI yaani yupo vizuri sana.

Ila hii inawapa nafuu waathirika wengine.
 
ilitakiwa leo hii Waziri Mkuu na Waziri wa Kazi Jenista Muhagama waonyeshe mfano kwa kupima Ukimwi hadharani ili kuhamasisha wananchi kote nchini kupima kwa hiari.
Mabanda yapo watu wanapima hivyo hata wao huenda watafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom