Kwenye tembo unaongelea uchama?!hapo uchama unatoka wapi?
Hivi unafahamu kuna wanajeshi kutoka moro walikamatwa na meno ya tembo kilo 250 au kwasababu hawatangazi kwenye vyombo vya habari kukwepa aibu!najua ninachokiongea
Sasa kama tukiongea ubaya unaofanywa na mtu ama taasisi ni nani atakaesimama bila hatia? Kupitia Jeshi ilo ilo Hayati Mwl Nyerere alifanya baadhi mauaji na kwa Jeshi ilo ilo akamtoa madarakani, naomba tusiongelee haya. Ila JWTZ wapo Imara.