Maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika/Tanzania bara

Ndege hizo za JWTZ from Ngerengere Morogoro, Moja kati ya kambi kubwa za Jeshi la Anga Tanzania.
 
Rais amemaliza kukagua vikosi vya ulinzibna usalama vya nchi, vikosi vimeshapita mbele ya rais kwa mwendo wa pole na haraka na sasa vinatoka nje ya uwanja
 
Hivi huyu Rais askari wanapita mbele yake kwa heshima na saluti juu,yeye anacheka cheka na kupiga stori na mkuu wa majeshi!!

Ile ni salamu na anatakiwa kuipokea kwa heshima!,hata mkuu wa majeshi anashindwa kumwambia kweli!?
 
Watu wote wamesimama kwa dakika moja huku wakiwa kimya kumuombea rais wa kwanza mzalendo wa afrika kusini hayati nelson mandela
 
Vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama ndio vinatokanje ya uwanja ili ratiba nyingine kuendelea
 
Vijana wa halaiki wanaendelea kuonyesha umahiri wao uwanjani kwa kuchora maumbo mbalimbali
 
Happy birthday tanganyika! Ungekuwa hai leo ungetimiza miaka 52 ya umri wako
 
Huo ndio uzalendo mkuu, watu wanahau kuwa sisi sote ni watz, vyama vimeikuta nchi na vitaiacha

Sasa hivi ukienda DRC hususani maeneo ya Vita kama Goma, ukijulikana ni Mtanzania watakufurahia sana. Japokuwa anawaita waua tembo ila ngoja nimpe siri moja. Kule CONGO sasa hivi kuna majeshi ya Tanzania, S.Afrika na Malawi. Katika mapambano yote kwenye kuwatoa waasi ni JWTZ ndio wapo mbele kwenye mapigano. Kutokana na kuepuka vifo na majeruhi kwa askari wetu, mara nyingi kuanzia sasa huwa wanafanya mtindo huu 'Jeshi la Congo ndilo linaloingia uwanja wa mapambano, lakini linapewa mbinu na Askari wa Tanzania kikubwa zaidi JWTZ linatoa Askari wake kadhaa kuungana na wale wa Congo ili kwenda kwenye mapambano'. Namshangaa sana huyu jamaa kila kitu anakifanya kuwa siasa.
 
Uchama utakuua wewe. Mi leo kama leo nafurahi nchi yangu kutimiza miaka 52 ya uhuru.

Kwenye tembo unaongelea uchama?!hapo uchama unatoka wapi?

Hivi unafahamu kuna wanajeshi kutoka moro walikamatwa na meno ya tembo kilo 250 au kwasababu hawatangazi kwenye vyombo vya habari kukwepa aibu!najua ninachokiongea
 
Back
Top Bottom