- Thread starter
- #101
vicky kamata anaimba eti" mageuzi usiniguse nimeolewa...mume wangu ccm nimekolea". mageuzi usinishe wewe unashombo mume ccm anaweza mambo. hahahaaaa...
Huyo Rais wa Migomo nae kaolewa
vicky kamata anaimba eti" mageuzi usiniguse nimeolewa...mume wangu ccm nimekolea". mageuzi usinishe wewe unashombo mume ccm anaweza mambo. hahahaaaa...
i am ready to face burn ---- we ni punga......
liberatus makene,mwenyekiti wa wamachinga mkoa wa mwanza anasoma risala ya wamachinga kwa Mwenyekiti wa CCM
Sure! Jamaa wanasema watawapa msosi wote waliofika pale!Watu wanafata mengi! Sio mapenzi na chama tu!Hi picha ya sio ya leo! Pili umati huu huwa unafuata vitu viwili. Moja ni wasanii wanaoletwa na ccm ktk mikutano na mikusanyiko yao. Pili wanafuata chakula/hela ambazo zinatolewa ilihali wananchi wanakosa huduma za muhimu kama afya elimu etc. Mtalaaniwa wooote mnaohusika na upuuzi huu.
kwa taarifa yako hata mitume wa mungu hawakuwai kufanyia shughuli za vilage,eg madina maka,jesusalem nk think twice
Labda wamewahi huko kwenye masufuria ya ubwabwaNi hali isiyopingika kuwa watu wengi waliokuwepo uwanjani hapa wanaondoka kwa kasi japokuwa kuna pilau na ng'ombe kadhaa waliochinjwa.
nappe anasema eti imekula kwao leo, tumejaza kirumba. hahaaa..
kwani mnuso si hapo hapo uwanjani?Labda wamewahi huko kwenye masufuria ya ubwabwa