Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Baadhi ya nchi zinahitaji mtu anayeingia nchi husika kuwa na cheti cha kuthibitisha amepima CoronaVirus ili aweze kuingia nchi husika.
Maabara ya Taifa ya Tanzania imetangaza kupima na kutoa vyeti kwa waliopima kwa gharama tofauti tofauti, ikitegemea kama mtu ni mtanzania au ni mgeni.
Mtanzania atapimwa kwa Tsh. 40,000. Raia wa Kigeni mwenye kibali cha kuishi nchini atapimwa kwa Tsh. 60,000 na Raia wa kigeni asiye na kibali atapimwa kwa dola 50.
Majibu na vyeti vinatolewa saa 24 baada ya vipimo. Aidha hela ya upimaji inalipwa kwa mfumo wa GePG baada ya kupewa ‘Control Number’
Maabara ya Taifa ya Tanzania imetangaza kupima na kutoa vyeti kwa waliopima kwa gharama tofauti tofauti, ikitegemea kama mtu ni mtanzania au ni mgeni.
Mtanzania atapimwa kwa Tsh. 40,000. Raia wa Kigeni mwenye kibali cha kuishi nchini atapimwa kwa Tsh. 60,000 na Raia wa kigeni asiye na kibali atapimwa kwa dola 50.
Majibu na vyeti vinatolewa saa 24 baada ya vipimo. Aidha hela ya upimaji inalipwa kwa mfumo wa GePG baada ya kupewa ‘Control Number’