Ma-super star wa jf...!!

Sizinga nikilazwa nje ya nyumba leo utantambua
 
The Finest, Afrodenzi, DenaAmsi, Ashadii, Desdii, Jasmin, CarolineDanzi, Lizzy, The Boss, Katavi, ... Nitarudi tena

thanks Elia..
ubarikiwe na wewe mpendwa... 🙂
 
Eish....hiyo bold mbona ni mtu mmoja?

Kulaaaleki, hili nimeliprinti nampelekea bibi yenu, leo chakula cha usiku ntapewa bila kubaka........

Kuna masaa 262800, yanakusubiri jela!!(au siku 10950 au miaka 30 ukitaka)
 
The great Superstar

Ni mimi babu ODM

Source: Asprin + klorokwini

Thread Closed!!
Haaaa haaaa!
Babu nakukubali japo sina umri mrefu humu na upo kwenye list yangu lol!
Tena wamesahau km ww ndio bingwa pekeee wa kuchakachua sred za watu lol!
 
Kumbe wewe ni Superstar haujawahi kuniambia utanieleza vizuri leo.....halafu huyu pacha wako anayeitwa AfroDanz mbona haujawahi kuniambia habari zake

join the club ..
hahahaahah lol AfroDanz bado namtafuta
naona ananiibia umaarufu wangu.. sasa wapi leo??
 
Kuna masaa 262800, yanakusubiri jela!!(au siku 10950 au miaka 30 ukitaka)
Kwa kesi ya kumbaka nani?

Haaaa haaaa!
Babu nakukubali japo sina umri mrefu humu na upo kwenye list yangu lol!
Tena wamesahau km ww ndio bingwa pekeee wa kuchakachua sred za watu lol!
Unanikubali kwenye nini? hebu niambie kwenye PM bana hapa wanga wengi!
 
Swali moja tu my dear ..
kwanini tu bado si
Premium member??
personal I think your awesome...

maana nakumbuka we ndo ulinifanya niwe P member

Njiii hii imeshafilisika dear!! Njaa hadi chumbani,hukusikia maongezii ya IMF juzi...ila ngoja nikomae, mwaka haushi huu, status itabadilika.,nshachoka.
 
The Finest, Chatu Dume, Klorokwini, Asprin, Cantalisia, Feis Buku, Sweetlady, WiseLady, Pakajimmy...........n.k
Kulaaaleki! kutajwa na Premium member kama huyu Bwana, zambi zangu tano zimeshasamehewa. Hii posti naicopy na kuipesti sehemu asije akabadili mawazo akadiliti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…