daaah nalog off foreverhahaha! Umeonae? Ila kule pamenifanya nijifunze mambo mengi sana, nzuri zaidi nilijiapiza siku nikitoka lazima rejao awe my best friend wa jf manake bila yeye pia nisingeweza kujifunza hayo niliyo yajifunza...
Akitokea mtu kutuchonganisha mwambie ashindwe na alegee kabisa... Hakunaga zaidi yangu mimi na wewe, yaan hakunaga!
Siamini kama haya maneno yanatoka kwako aisee........nilkuwa sijui kama hunipendi kiasi hiki (Sio siri roho imeniuma kiukweli kweli)
There are currently 15 users browsing this thread. (9 members and 6 guests)
Huyo namba 6 mbona hachangii thread yake???
Ndio, manake naona muda wote unakwaruzana na Babu tu, utamuua kwa presha....umri wake uliobakia amekopa halafu we huishi kukwaruzana nae...nafawatilia kwa karibu sana we DA
Hahaha Dena hufai. Anasubiri kutajwa ndio achangie..lol.There are currently 15 users browsing this thread. (9 members and 6 guests)
Huyo namba 6 mbona hachangii thread yake???
daaah nalog off forever
SAVE WATER, DRINK BEER Source Sizinga
Hadi na wewe....hatimae dada wa tanga kakutoa
shukrani kwa mr rocky kwa kupeleka difender
A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! Source Dena Amsi
Hahaha! Nini tatizo switie? Na ujifunze kutia nazi kwenye maji ya kuoga vinginevyo TF utamsikia redioni.daaah nalog off forever
mimi namtaka rejao wangu bwanahahaha! Nini tatizo switie? Na ujifunze kutia nazi kwenye maji ya kuoga vinginevyo tf utamsikia redioni.
mimi namtaka rejao wangu bwana
Hahaha! Nini tatizo switie? Na ujifunze kutia nazi kwenye maji ya kuoga vinginevyo TF utamsikia redioni.
Ha ha ha bampa to bampa sio haya bana
Nakuambia leo sikuachi....ukimwaga ugali mi namwaga wali
Nipo hapa swetie wangu...umenitenga sana! Harusi ilikuwaje?mimi namtaka rejao wangu bwana
mbona sikuelewi bwana switlady ni nani wako hapaNipo hapa swetie wangu...umenitenga sana! Harusi ilikuwaje?
lol...kazi ipo hapa! ngoja nimsubiri sweetlady aje kunitetea!mbona sikuelewi bwana switlady ni nani wako hapa