bongo sidhani Kama itakuja tokea siku msanii akaanguka jukwani, kwakuwa hamna nguvu wanayoitumia, wanachofanya ni kuweka CD na kuifatisha tofauti na huko USA wanapoimba live inahitaji punzi sana
bongo sidhani Kama itakuja tokea siku msanii akaanguka jukwani, kwakuwa hamna nguvu wanayoitumia, wanachofanya ni kuweka CD na kuifatisha tofauti na huko USA wanapoimba live inahitaji punzi sana
Bongo niliishudia Marehemu mangwea RIP alidondoka jukwaani uwanja wa Jamhuri aliitwa jukwaani na Prof J aje aimbe wimbo wake wa Geto langu....J alikuwa anatangaza album yake ile yenye nyimbo ya zali la mentali nakumbuka akitaka kuperform lazima avae zile nguo zake za kwenye shooting
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.