The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
yalinikuta yaliyomkuta charminglady lakini nimeshaomba radhi kwa invisible kwa kuanzisha ID mpya
sasa mbona ukatia tena thread mpya jamani...nakumbuka kama ulishalitolea ufafanuzi sehemu?
Hujambo d?
kazi unayo
The Katibu, kazi gani tena Bishanga anayo? Mbona kila dalili zaonesha kwako kazi keshamaliza?
Muulize kilichomkatisha tamaa unga limited mi mdogo wake LIZZY
Kumbe na hayo tena!
Hapo sitii neno langu, huyu Mhe naheshmiana nae sana.
Alafu back to the mada, mimi nna imani kuna siku hapa Jf mtu atakuja funguka aseme :
" Mimi ndiye Jane triple zero"
Kumbe na hayo tena!
Hapo sitii neno langu, huyu Mhe naheshmiana nae sana.
Alafu back to the mada, mimi nna imani kuna siku hapa Jf mtu atakuja funguka aseme :
" Mimi ndiye Jane triple zero"
what happened? sijakupata vizuri.... umeshavuka tayari?
SOrry waweza nikumbusha ile ID yako nyingine inaitwaje??
ndiyo nipo mpakani SIRARI narudi tz
SS mi mtu wangu sijajaribugi, kwanza wala sioni mibidii yote niifanye kuwa na multiple Id's , za nini wakati hapa hatulipwi hata sent 5 !
Hata uandike kila siku Thrades 10! Sanasana mie ndiye niliwae! Kukicha kb's , mb's zinaondoka na maji.
The secretary upo wapi?