M4PI....! Kituko kingine cha CCM maslahi

M4PI....! Kituko kingine cha CCM maslahi

Replies kama hizi ukizisoma unapata picha ya kwanini kama taifa tunahitaji ukombozi kwenye Kila kitu hasa elimu na fikra mpya hasa kwenye uongozi wa nchi
Watu hawawezi kabisa kujenga au kubishana kwa hoja bali visentensi vyenye mipasho visivyo na mbele wa nyuma Kama hizi replies hapa
Tunaposema tunahitaji mabadiliko ni dhana pana sana, tuna kundi kubwa sana la wananchi ambao bado hawajajitambua na ambao wanaona hali tuliyo nayo ni stahiki yetu

Mabadiliko hayaletwi na mtu anayekunya kwenye nguo, shujaa hajinyei bhana, tukubali ukweli, mabadiliko hayaletwi na mtu dhaifu kama huyo mzee wenu. Acheni kujidanganya wenyewe. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.
 
waache wajitekenye weeeeeeeeee.... trh znasonga tu... VIVA UKAWA
 
Mwezeshaji wa huo ujinga atakuwa Diallo kwasababu unalingana na akili yake!
 
Hahaah wamechelewa hao, ni wajinga wakubwa. Wanampigia kampeni Magufuli halafu wanaogopa kusema wao ni wanaCCM. Wakija huku kwetu tutawapiga mawe, tena mchana kweupe, hatutaki wanafiki.
 
Kama ccm ni punda basi mzigo mzito mgongoni utakuwa unamuelemea hajui afanyeje...Huku akiendelea kupata bakora mfululizo mgongoni
 
Mabadiliko hayaletwi na mtu anayekunya kwenye nguo, shujaa hajinyei bhana, tukubali ukweli, mabadiliko hayaletwi na mtu dhaifu kama huyo mzee wenu. Acheni kujidanganya wenyewe. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.

Pathetic......what a stupid reply...!!
 
Yaaani we acha tu, hizi elf 10 10 hizi, watu hatujui tunakula nini na tutakula nini, kodi zetu ndo wanawapa, mie naona wanaokomalia ccm ni wale ambao hawajakumbwa na kadhia ya ccm siku za nyuma, wanapoomba kura ni kondoo kabisa, na watakapopewa kura huwa chui, hao hao ndugu watarudi baada ya uchaguzi kuwa bora wangempa mamvi

Wanasiasa wachache wenye nia ya kweli ya kubadilisha maisha yako wewe mtanzania wa kawaida. Wengi wao wapo

kimaslahi yao zaidi na makundi yao. Cha muhimu tusijimwage na kujipa sana matumaini kwamba mtu flani atatubadilishia

maisha. Ndio maana mi binafsi ningependa kuwauliza hawa wagombea hasa wa urais, nini hasa malengo yao, au nini

kimewasukuma kutaka kugombea hii nafasi kubwa na yenye heshima ya juu kabisa nchini? Vile vile hasa huyu wa UKAWA

na wa CCM ambao walikuwa kule miaka zaidi ya 30 labda watueleze tu walisaidia vipi kuwaondolea huu mvumo mbovu wa

CCM ambao wananchi wengi wanaonekana kuuchukia. Mwisho kabisa wangetaja mali zao na kutujuza jinsi walivyozipata,

zaidi ya hapo kama watashindwa kuweka haya mambo vizuri nitaona nia yao ni kutaka kujinufaisha wenyewe tu.
 
Replies kama hizi ukizisoma unapata picha ya kwanini kama taifa tunahitaji ukombozi kwenye Kila kitu hasa elimu na fikra mpya hasa kwenye uongozi wa nchi
Watu hawawezi kabisa kujenga au kubishana kwa hoja bali visentensi vyenye mipasho visivyo na mbele wa nyuma Kama hizi replies hapa
Tunaposema tunahitaji mabadiliko ni dhana pana sana, tuna kundi kubwa sana la wananchi ambao bado hawajajitambua na ambao wanaona hali tuliyo nayo ni stahiki yetu


usipende mawazo yako yafanane na wengine, maana ya mabadiliko ni pana lakini ni nani anataka kuleta mabadiliko, mob phsychology bahati mbaya ilinipitia pembeni
 
usipende mawazo yako yafanane na wengine, maana ya mabadiliko ni pana lakini ni nani anataka kuleta mabadiliko, mob phsychology bahati mbaya ilinipitia pembeni

Hebu tulia uandike kitu kinachoeleweka una muda wa kutosha saana Usikurupuke JF ipo tu
 
Hii imetokea leo huko Mwanza ,eti vijana zaidi ya 180 wasio na vyama wameamua kufanya kongamano la kuhamasisha amani na maslahi ya taifa/jamii
M4PI kirefu chake ni Magufuli for public interest ...lakini Mimi naitafsiri kama magufuli for prohibited immigrant
Sinema ikakolezwa na wachangiaji kusema wameamua kumuunga mkono magufuli
Kisha wakarudisha kadi ya vyama walivyotoka, mlengwa kikiwa ni CHADEMA
Kisha wakaahidi kumpa Kura magufuli na kuahidi kuwahamasisha wengine kufanya hivho

Tujadili ::
- Ni kongamano LA vijana wasio na vyama lakini wana kadi za vyama vya siasa.... Upuuzi uliovuka mipaka
- Anaalikwa mwakilishi wa ccm kupokea hizo kadi chache zilizorudishwa na kusema kuwa ha simu na kuja fasta... Uongo wa kitoto hasa
- Vijana wanahojiwa mmoja mmoja wachache wao, wanasahau lengo la kongamano lao na kujibu Kama watu waliopangiwa majibu na ccm, na karibia wote wakimsifu Sana Magufuli.

Chombo cha habari kilichoalikwa ni Star TV na habari inapewa coverage kubwa mno... Na hii ndio M4PI,
Hivi mpaka kampeni hizi ziishe huko hazina wataacha kitu kweli?.
 
Jamani mwenye kuwa na uelewa zaidi juu ya katiba ya jamhuri yamuungano wa Tz. Je? Hili baraza litakuwepo hata baada ya Rais mpya kuapishwa?. Kizunguzungu
 
Jamani mwenye kuwa na uelewa zaidi juu ya katiba ya jamhuri yamuungano wa Tz. Je? Hili baraza litakuwepo hata baada ya Rais mpya kuapishwa?. Kizunguzungu

Lilikufa siku ile ile baada ya kuzinduliwa na kurushwa hewani, baada ya pale kila mmoja akadaka mshiko wake na makabrasha yakafungiwa kabatini wengine vitumbua
Failed mission completed....!!!
 
Back
Top Bottom