KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Wana Simanjiro ni watu wa amani mambo ya kwenda kwenye mikutano na sime sio mazuri angalizo kwa wana Chadema na wana CCM hatutaki damu imwagike.
Vipi hamjafanya kama mlivyofanya Iramba?Mbona kusini damu haikumwagika au walikuwa ccm?