Calamity
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 856
- 47
Nitakuwa hapo mapema sana.mkutano ukiisha ndo ntaamia italiana pub kupunguza asira.
mkuu we balaa!!!!ukifika agiza KINANAAA bariiidii!teh teh teh!
Nitakuwa freeland kupata moja baridi
Nitakuwa hapo mapema sana.mkutano ukiisha ndo ntaamia italiana pub kupunguza asira.
Mkuu ndio tumetoka makao makuu kuchukua fuso la matangazo muda si mrefu litaanza kuunguruma...Kamanda kijome :yield: any up dates pls????
Mkuu kidodi jongea eneo la tukio fuso ndio linskaribia uwanjani tuungurumishe chama dume kimanga!!Safi Mno ila hamtoi taarifa watu wa huku tabata tuhudhurie kwa mfano me sina habari ila nashukuru kwa taarifa nasubiri muda nikasikilize vichwa vikiwa vinatoa Point za maana
Karibu sana kamanda moto unakaribia kuwaka mambo yameiva tayari..makamanda,niko bonyokwa hapa,nitashuka hapo mishale ya saa nane.
picha muhimu mkuu!
Karibu sana kamanda moto unakaribia kuwaka mambo yameiva tayari..
Karibu kamanda mwenezi nipo eneo la tukio nimevaa kombati na sunglass!!
kamanda KIJOME,nimefika migombani naja hapo.
Safi sana makamanda, tutakua pamoja katika mkutano huo
Mkuu concord nh nipo hapa na kamanda mwenezi nimekula full combat na tupo kiintelejensia zaidi hata yale majamaa hayaoni ndani,tumejipanga vya kutosha!!Kamanda kijome utakuwa umependeza sana!
Ngoja tusubiri aibu kama ya siku ile mkutano kukosa watu, ndiyo mmeamua kuupeleka Tabata Kimanga kituoni sababu padogo.
Kwa nini msipeleke pale uwanjani shule muumbuke.
Tunasubiri picha.
nimeishatia timu kimanga,maandalizi ya mkutano yanaendelea vizuri.
Mkuu concord nh nipo hapa na kamanda mwenezi nimekula full combat na tupo kiintelejensia zaidi hata yale majamaa hayaoni ndani,tumejipanga vya kutosha!!
Nitakuwa hapo mapema sana.mkutano ukiisha ndo ntaamia italiana pub kupunguza asira.