Mumejaza watoto wa shule, watu wazma wamekuja kumushangaa padri alievunja agano lake na Mungu maana walikuwa wanamusikia tu.
hatujajaza wamekuja wenywe hapo ndo tunapotofautiana na ninyi huwa mnakuja na kundi la wajinga wenzenu kutoka mitaani hawa ni wapiga kura daftari la wapiga kura lirekebishwe uone kama ni watoto au wakubwa.......najua unaumia kiasi gani ila sio kosa lako we chukua tu hizo buku 7 kale na ndugu zako umeshachangia