Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
CDM itakufa kabla ya 2014 (Steven Wassira 2012)
Huyu mzee uwezo wake wa kufikiri umezeeka vibaya zaidi ya yeye mwenyewe. Akalee vitukuu huko.
CDM itakufa kabla ya 2014 (Steven Wassira 2012)
sasa unataka kutudanganya kuwa huo ni umati. Picha ya kwanza na ya pili ni ileile umegeuka kidogo halafu ya tatu ukaenda upande wa pili. Uwanja wenyewe sio mkubwa nadhani hata biafra wa dar ni mkubwa. Nawe waona fahari kupigwa domokaya wakati wenzako wanaruka na chopa na wanalala hoteli kubwa kubwa kila mtu na wake....hebu tuone kama picha ndio tafsiri ya taswira...
Mumejaza watoto wa shule, watu wazma wamekuja kumushangaa padri alievunja agano lake na Mungu maana walikuwa wanamusikia tu.
Ahsante kwa kuliona hilo vizuri mkuu. Hawa chadema wataisoma namba siku ya tarehe 9/2/2014.Sasa unataka kutudanganya kuwa huo ni umati. Picha ya kwanza na ya pili ni ileile umegeuka kidogo halafu ya tatu ukaenda upande wa pili. Uwanja wenyewe sio mkubwa nadhani hata biafra wa dar ni mkubwa. nawe waona fahari kupigwa domokaya wakati wenzako wanaruka na chopa na wanalala hoteli kubwa kubwa kila mtu na wake....Hebu tuone kama picha ndio tafsiri ya taswira...