Nikiripoti kutoka Bunda, Mimi ni Jooooooooooooji Maratuuuuuuuu, wa Aitiiiviiiiiiiiii!
hahahaahahaaaahahahaha! Nimecheka sana mm na familia yangu, wanampenda huyu uliyemtaja na humuiga amalizapo kuripoti kihivyo!
Nikiripoti kutoka Bunda, Mimi ni Jooooooooooooji Maratuuuuuuuu, wa Aitiiiviiiiiiiiii!
mbona watoto tu ndo wamejaa?only picha,maneno ya kanga waachie kina Makonda na magambaz
Mumejaza watoto wa shule, watu wazma wamekuja kumushangaa padri alievunja agano lake na Mungu maana walikuwa wanamusikia tu.
mbona watoto tu ndo wamejaa?
umepagawaandaa yenu muone kama hata hao watoto watakuja. Kwa taarifa tu, hao wana sifa za kupiga kura. Tuandae daftari
Aisee wewe nadhani utakuwa ni Kayembe Shentemba. Operesheni kimbunga ilikuacha kweli??Mumejaza watoto wa shule, watu wazma wamekuja kumushangaa padri alievunja agano lake na Mungu maana walikuwa wanamusikia tu.
hahahaahahaaaahahahaha! Nimecheka sana mm na familia yangu, wanampenda huyu uliyemtaja na humuiga amalizapo kuripoti kihivyo!
Mikutano ya chadema ni kama kuhudhuria mnadani siku ya mnada
Fainali kupiga kura 2015 mtalia bandugu
mbona watoto tu ndo wamejaa?
Mumejaza watoto wa shule, watu wazma wamekuja kumushangaa padri alievunja agano lake na Mungu maana walikuwa wanamusikia tu.
Mumejaza watoto wa shule, watu wazma wamekuja kumushangaa padri alievunja agano lake na Mungu maana walikuwa wanamusikia tu.
Tatizo la chadomo ni maneno mengi tu. Wingi wa watu kuja kusikiliza sio upigaji kura.
Hizi picha ni tamu kuliko ugali samaki
Aisee wewe nadhani utakuwa ni Kayembe Shentemba. Operesheni kimbunga ilikuacha kweli??