M4C-OPD: Ndani ya Manispaa ya Bukoba - Jan 26, 2014

M4C-OPD: Ndani ya Manispaa ya Bukoba - Jan 26, 2014

si mchezo sixgates kaandika,kafuta,kaandika tena,kafuta!kisa kaandika mambo mazuri kuhusu OPD

sixgates atakuwa alitaka kuandika upuuzi wake kuhusu uwasilishwaji wa habari..... roho inamuuma sana
 
Last edited by a moderator:
ASA NI WAKATI WA WATANZANIA HASA WAISLAM KUTAFAKARI MAHUSIANO KATI YA CHADEMA NA CDU- Christian Democract Union cha UJERUNMANI YANAFAIDA GANI KWAO...?

"Kwenye hili slaa hajafanya siasa ya kawaida. Kuweka imani na ishara ya Zitto kabwe kwenye sanduku na kuongezea msalaba juu,huku akifahamu kabisa kuwa Zitto Kabwe ni muislam thabiti. haimaanishi tu kwamba ni siasa, inamaanisha kuwa Zitto anadharirishwa yeye pamoja na uislamu wake. Dokta slaa ndiye aliyeyapokea maandamano haya....dokta slaa ni padri, msigwa ni mcgungaji. Sugu ni mkristo. Hakukuwa na muislam hata mmoja kwenye timu yao....wameamua kutufedhehesha kwa kutumia dini yao. Kwenye hili linalogusa imani za dini, hatutaachana salama hata kidogo..

Kwa Mara ya kwanza leo naomba niseme wazi Mimi sio mdini lakini sipo tayari na siwezi kuvumilia ninapoona dini yangu inadharirishwa makusudi, muumini mwenzangu Wa kiislam anadharirishwa makusudi.

my take:
akili finyu hutesa mwili

...""---source Habib Mmchange


kwa vyote vile wewe utakuwa div 5, Magamba povu linawatoka
 
Wakuu,

Nadhani tokea hii Operation ianze kadiri siku zinavyokweda watu wanazidi kuielewa CHADEMA kuwa kipo kwa ajili ya watanzania wote, huu umati wa Bukoba kwakweli ni funika haijawahi kutokea bukoba tokea mfumo wa vyama vingi uanze.

Ukweli ni kwamba hiki ni kiashiria kwamba watanzania wamechoka na utawala uliopo, hebu angalieni hizi picha hapa chini.
Katika mkutano wa Leo kilichowaacha wananchi midomo wazi ni pale Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema aliposema kwamba "Kikwete ni rais wa kwanza nchi hii kwenda ulaya kuomba Kunde, huku kaacha dhahabu na almasi bongo".

View attachment 134859
umati wa watu ukishuhudia wakati helcopter ikitua
View attachment 134860
Picha zote kwa hisani ya Mtu wa Tanganyika .......... peopleeeeezzzzzzz!!!!!

Nyomi linawapa Matumaini CDM kuwa watashinda bt ukweli utajulikana 2015 Mambo yaakuwa Kama Mazingaombwe vile.
Kidumu Chama cha Siasa.
 
Last edited by a moderator:
Sixgates habari imeletwa na Kamanda Mungi na sio Makene,haya andamana kwenda Ufipa kukata rufaa
 
ASA NI WAKATI WA WATANZANIA HASA WAISLAM KUTAFAKARI MAHUSIANO KATI YA CHADEMA NA CDU- Christian Democract Union cha UJERUNMANI YANAFAIDA GANI KWAO...?

"Kwenye hili slaa hajafanya siasa ya kawaida. Kuweka imani na ishara ya Zitto kabwe kwenye sanduku na kuongezea msalaba juu,huku akifahamu kabisa kuwa Zitto Kabwe ni muislam thabiti. haimaanishi tu kwamba ni siasa, inamaanisha kuwa Zitto anadharirishwa yeye pamoja na uislamu wake. Dokta slaa ndiye aliyeyapokea maandamano haya....dokta slaa ni padri, msigwa ni mcgungaji. Sugu ni mkristo. Hakukuwa na muislam hata mmoja kwenye timu yao....wameamua kutufedhehesha kwa kutumia dini yao. Kwenye hili linalogusa imani za dini, hatutaachana salama hata kidogo..

Kwa Mara ya kwanza leo naomba niseme wazi Mimi sio mdini lakini sipo tayari na siwezi kuvumilia ninapoona dini yangu inadharirishwa makusudi, muumini mwenzangu Wa kiislam anadharirishwa makusudi.

my take:
akili finyu hutesa mwili

...""---source Habib Mmchange


stupidest comment of the decade, tumeshaona simba na yanga wakifanya hivyo, ccm wakifanya hivyo tena mwigulu alimvisha paka bendera ya cadhema, tumeshaona hata washabiki wa siasa wakiweka jeneza la JK huko mikoani

Je simba na yanga zina dini??

to me ni upumbavu wa washabiki wachache wa chama na dr. slaa aliwapinga palepale, which is good but linking that na siasa zote ni ujinga ambao unaweza kukuweka wewe kwenye mizani ya wapumbavu waliopitiliza na wasiokua na ability ya kuchanganua hata scenarios ndogo kanma hizo

you must be a person with very low IQ
 
Vijana hapo manispaa ndo mnatakiwa kuhakikisha siasa za udini na ukabila za ccm zinafika ukomo na kuanza sasa wimbo ni mmoja mchakamchaka mpaka kieleweke

Hili jimbo ni mali ya CDM kuanzia sasa
 
wakuu ni hatari sana helicopter kupita juu ya watu kwa ukaribu ule... i think this has to stop

ushabiki wa siasa pembeni chadema needs to be cautious --- kwani hawana dhamana na mashine, inaweza kuanguka na kuleta madhara mabaya sana kwa watu

the first photo is scary and tells a lot about rubani wa hiyo helicopter
 

  • Wakati chadema wanatumia bilioni 1.5 kurusha CHOPA TATU kwa muda wao wote wa operations Zitto Z Kabwe.....
    Mgombea wao wa UDIWANI kata ya SOMBETINI Arusha ndg Ally Bananga anahaha kuomba omba misaada ili aendeshe kampeni ........

    Ameweka namba yke ili atumiwe michango ... 0754962926.....

    Shame on you Chadema ya Slaa na Mbowe .....


  • Wewe na akili yako unashiriki katika vioja badala ya hoja; kweli elimu yetu majanga
 
Muheshimiwa WILLAFRIKA unatakakuniambia dini ya uislam inahalalisha USALITI?. watu kama ZITTO wapo katikaharakati zozote zili wakati afrika kusini wanapigana kupinga ubaguzi wa rangi watu kama ZITTO walikuwepo walipenyezwa na makaburu .ilikuwa ukijulikana tu lazima uuwawe wanasema haunatofauti na panya.ACHA KUTULETEA UDINI HAPA
 
ASA NI WAKATI WA WATANZANIA HASA WAISLAM KUTAFAKARI MAHUSIANO KATI YA CHADEMA NA CDU- Christian Democract Union cha UJERUNMANI YANAFAIDA GANI KWAO...?

"Kwenye hili slaa hajafanya siasa ya kawaida. Kuweka imani na ishara ya Zitto kabwe kwenye sanduku na kuongezea msalaba juu,huku akifahamu kabisa kuwa Zitto Kabwe ni muislam thabiti. haimaanishi tu kwamba ni siasa, inamaanisha kuwa Zitto anadharirishwa yeye pamoja na uislamu wake. Dokta slaa ndiye aliyeyapokea maandamano haya....dokta slaa ni padri, msigwa ni mcgungaji. Sugu ni mkristo. Hakukuwa na muislam hata mmoja kwenye timu yao....wameamua kutufedhehesha kwa kutumia dini yao. Kwenye hili linalogusa imani za dini, hatutaachana salama hata kidogo..

Kwa Mara ya kwanza leo naomba niseme wazi Mimi sio mdini lakini sipo tayari na siwezi kuvumilia ninapoona dini yangu inadharirishwa makusudi, muumini mwenzangu Wa kiislam anadharirishwa makusudi.

my take:
akili finyu hutesa mwili

...""---source Habib Mmchange


Wewe ni mpuuzi kweli, na unataka kutudhalilisha Waislamu, kwani kwenye jeneza hilo yumo Zito? Je, jeneza limefunikwa kwa sanda ya dini ya Kiislamu? Je, Zito alitumwa na sisi Waislam kufanya usaliti? Je, usaliti wa Zito unatunufaisha nini sisi Waislam mpaka tuingie kwenye malumbano na Wakristo?
 
Ikibidi wa Tanzania tutachangia hii operatio isikome Mpaka 2015
 
Kabisa sina matumaini na CHADEMA.
Huu ni upepo utapita tu. Pengine sana sana ni njia tu ya wajanja wachache katika timu ya uongozi wa CDM waliobuni huu mradi ili wapate namna ya kujilia hela ya ruzuku nyuma ya pazia.
 
ukombozi umefika hakuna wakupinga wakoloni weusi wote matumbo joto wakiongozwa na kinana na nape
 
ASA NI WAKATI WA WATANZANIA HASA WAISLAM KUTAFAKARI MAHUSIANO KATI YA CHADEMA NA CDU- Christian Democract Union cha UJERUNMANI YANAFAIDA GANI KWAO...?

"Kwenye hili slaa hajafanya siasa ya kawaida. Kuweka imani na ishara ya Zitto kabwe kwenye sanduku na kuongezea msalaba juu,huku akifahamu kabisa kuwa Zitto Kabwe ni muislam thabiti. haimaanishi tu kwamba ni siasa, inamaanisha kuwa Zitto anadharirishwa yeye pamoja na uislamu wake. Dokta slaa ndiye aliyeyapokea maandamano haya....dokta slaa ni padri, msigwa ni mcgungaji. Sugu ni mkristo. Hakukuwa na muislam hata mmoja kwenye timu yao....wameamua kutufedhehesha kwa kutumia dini yao. Kwenye hili linalogusa imani za dini, hatutaachana salama hata kidogo..

Kwa Mara ya kwanza leo naomba niseme wazi Mimi sio mdini lakini sipo tayari na siwezi kuvumilia ninapoona dini yangu inadharirishwa makusudi, muumini mwenzangu Wa kiislam anadharirishwa makusudi.

my take:
akili finyu hutesa mwili

...""---source Habib Mmchange


Tulia gamba tukuvue sie ha ha ha pipooooooo
 
Back
Top Bottom