Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Wakuu,
Nadhani tokea hii Operation ianze kadiri siku zinavyokweda watu wanazidi kuielewa CHADEMA kuwa kipo kwa ajili ya watanzania wote, huu umati wa Bukoba kwakweli ni funika haijawahi kutokea bukoba tokea mfumo wa vyama vingi uanze.
Ukweli ni kwamba hiki ni kiashiria kwamba watanzania wamechoka na utawala uliopo, hebu angalieni hizi picha hapa chini.
Katika mkutano wa Leo kilichowaacha wananchi midomo wazi ni pale Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema aliposema kwamba "Kikwete ni rais wa kwanza nchi hii kwenda ulaya kuomba Kunde, huku kaacha dhahabu na almasi bongo".
Picha zote kwa hisani ya Mtu wa Tanganyika .......... peopleeeeezzzzzzz!!!!!
Nadhani tokea hii Operation ianze kadiri siku zinavyokweda watu wanazidi kuielewa CHADEMA kuwa kipo kwa ajili ya watanzania wote, huu umati wa Bukoba kwakweli ni funika haijawahi kutokea bukoba tokea mfumo wa vyama vingi uanze.
Ukweli ni kwamba hiki ni kiashiria kwamba watanzania wamechoka na utawala uliopo, hebu angalieni hizi picha hapa chini.
Katika mkutano wa Leo kilichowaacha wananchi midomo wazi ni pale Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema aliposema kwamba "Kikwete ni rais wa kwanza nchi hii kwenda ulaya kuomba Kunde, huku kaacha dhahabu na almasi bongo".
umati wa watu ukishuhudia wakati helcopter ikitua
Picha zote kwa hisani ya Mtu wa Tanganyika .......... peopleeeeezzzzzzz!!!!!