Ni kweli Kamanda Lema tulikuwa nae leo Sinza mitaa ya saa tano mpaka saa tisa yeye pamoja na mzee wetu Philemon Ndesamburo (MB), Kilewo, Komu Antony, na viongozi wengine wa chama na walipotoka wakaelekea Tabata.Mwaka huu magamba yatabanduka tu.......