Mkuu JokaKuu njoo huku.
Kila siku tunasema kuwa M23 haina madai yoyote halali dhidi ya DRC. Leo Bisimwa anathibitisha madai ya Kagame kuhusu FDLR. Kagame ameshawahi kuingia DRC kuwatafuta FDLR leo Bisimwa anasema naye na M23 wanawatafuta FDLR.
Huu ni ushhidi usio na shaka kwa menye akili kuwa Rwanda ndiyo M23 na M23 ni wing ya RPF.
Bisimwa ameitwa Kampala hana hoja sasa imebaki madai yasiyohusiana na mgogoro.
M23 ni matokeo ya wanajeshi wa Kitusi kunyimwa fursa katika jeshi la DRC. Ndipo walipoaamua March 23 kuunda kundi kupingana na serikali. Kumbuka hawa walikwenda DRC kidogo kidogo kama wakimbizi na wahamiaji haramu. Mwisho wa siku wamekuwa mwiba mkubwa.
Solution ya DRC ni kawatwanga M23hadi mtu wa mwisho halafu PK aonye na UN kuhusu ushiriki wake wa mauji haya.
Ni suala la muda tu PK ipo siku ataelekea the Hague. Akina Bisimwa watakuwa mashahidi. Ntaganda katangulia, Nkunda bado anakunywa mvinyo. This craps need be disciplined.
Hawa Wanyarwanda hususani Watutsi mi huwa nashauri kwa Serikali kuwa waondolewe hata kwa mtutu. Wakishazaliana wataomba Kagera au Geita iwe ya kwao. Binadamu hawa hawabebeki kabisa.