Mbona mimi sijawahi Pata hili tatizo? Refund na kutoa hela baina ya Mpesa na card inakubali tu.
Wanachoniboa sasa hivi ni hio 4% fee, ina scale vibaya mno, milioni ujue ni 40,000 hio plus kodi za serikali, shipping fees, na gharama nyengine za ajabu ajabu mwisho wa siku kitu cha 40,000 kina kuwa 80,000