Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,668
- 167,701
Utanielekeza si unajua mi mwanamke wa mkoani mjini nimeletwa kwa ki memoLunch break point leo.
Utanielekeza si unajua mi mwanamke wa mkoani mjini nimeletwa kwa ki memoLunch break point leo.
Bora wewe umeambulia japo ka Pepsi. Mi wamenizawadia tshs 333/= bila shuruti!Nimeambulia shs 580 tu nifanyeje ili niwarudishie Vodacom uchafu wao huu sitaki mikosi kwenye simu yangu
5AF513VD45N Confirmed.You have received Tsh580.00 from 219777 - M-PESA FAIDA on 15/1/18 at 7:50
Tuma salamu kwa watu watatu mkuu.Mnachokifanya ni kizuri sana ila nina mapendekezo kuhusu namna mnavyotoa gawio lenu.
Kulikoni kutoa 125, 150, 300, 500 au 750 kwanini msizichange ziwe nyingi halafu ndio mzitoe mfano: 5000 na kuendelea. Sina uhakika kama kuna mtu anapenda hizo 250, pesa yenyewe ni kama ya kufanya muamala wa simu moja kwenda nyingine.
Toeni kwa awamu na kwa watu wachache ili angalau kila anayepata nafsi iridhike la sivyo mtaambulia za uso kutoka kwa wateja wenu. Mimi nikiwa mmoja wao.
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Bora wewe umeambulia japo ka Pepsi. Mi wamenizawadia tshs 333/= bila shuruti!
Hahahahaaa unataka kurudishaNimeambulia shs 580 tu nifanyeje ili niwarudishie Vodacom uchafu wao huu sitaki mikosi kwenye simu yangu
5AF513VD45N Confirmed.You have received Tsh580.00 from 219777 - M-PESA FAIDA on 15/1/18 at 7:50
Njooni mjibu maswali ya wateja wenu, sio kuweka mada na kusepaHabari njema January hii!
Vodacom Tanzania Plc tunatoa Tsh bilioni 6 za faida ya kutumia M-Pesa kwa wateja wa M-Pesa. Kujua gawio utakalopokea tuma neno KIASI kwenda 15300. [HASHTAG]#PesaniMPesa[/HASHTAG], [HASHTAG]#LipaKwaMPesa[/HASHTAG], [HASHTAG]#MPesaApp[/HASHTAG]
View attachment 678636
Sawa mkuuTuma salamu kwa watu watatu mkuu.