Wewe uko serious?Hamko serious nyie.
Tell her my friend .. .Eheeeeee! teaaaaanaaaa nyie VODA nilikuwa na hasira na nyie sana! Tabia gani kunistua moyo wangu, eti meseji ya empesa halafu nikifungua oooops imethibitishwa nimepokea 250/= sijui kutoka faida..
Sitaki upuuzi wenu huo, mkome kabisa.
umenizid mkuu, nina 250/= hadi januari 2017Nimetuma hiyo sms eti wamenambia ntapata 334 hahahaha
Nyingi hivyo? Mi nilipata 125Ndio zile bil 6 afu unapata shi 300??
yan ni shida pole sanaNyingi hivyo? Mi nilipata 125
Tatizo watu wakweli na waadilifu hamtusikilizi.Kampuni kuubwa waongo waongo utadhani mnauza aloe vera ovyo sana!!!
Id ya zamani ni ipi nikusikilizeTatizo watu wakweli na waadilifu hamtusikilizi.
Nilifikiri ni mimi peke yangu... haya majamaa mafala sana!Yaani nimeanza kutumia mpesa toka 2010 na huwa nafanya miamala ya nguvu kwel,siku huwa haipiti cjatumia mpesa,ila gawio ninalopataga huwa ni 2000 tu.
Mnatumia vigezo gani kugawa hizo pesa?
Ni wapuuzi sana yani,hovyo kabisaNilifikiri ni mimi peke yangu... haya majamaa mafala sana!
Wapuuzi sana aseeumenizid mkuu, nina 250/= hadi januari 2017