M-Pesa Gawio.

M-Pesa Gawio.

Utapokea Tsh 400 kabla ya 30.1.2018 kama faida ya kutumia M-Pesa. You will receive Tsh 400 before 30.1.2018 as your benefit for using M-Pesa.
 
Utapokea Tsh 250 kabla ya 30.1.2018 kama faida ya kutumia M-Pesa. You will receive Tsh 250 before 30.1.2018 as your benefit for using M-Pesa.


Ila nimeitumia sana na sijui vigezo vyao
 
Wezi tu. Hili gawiwo hata halielewekagi mara mtoe mwezi huu kutoa tena mpaka baada ya miez 6.
 
Kwa nini kuna mfanano wa gawiwo. Wengi wamepewa 250. Kama alivyouliza Joseverest kwamba wao Vodacom Tanzania huwa wanazingatia nini kwenye kutoa hilo gawiwo?

Bila ya wao vodacom kuweka wazi vigezo wanavyotumia kwenye kutoa hilo gawiwo watu watawaona ni wadanganyifu tu kama wale wachezesha Bahati Nasibu!
 
Voda mpesa iko vizuri shida ni huo uzwazwa wao ....yaan wanatukata hela nyingi sana kutoa hela then wanatuletea vipromo vya ajabu kiiukweli muwe mnakaa kimya tu
 
5AJ3144QR9H Imethibitishwa.Umepokea Tsh250.00 kutoka 219777 - M-PESA FAIDA tarehe 19/1/18 saa 5:44 AM Salio lako ni M-Pesa ni Tsh200,407.76.

[emoji115][emoji115]shilingi mia mbili na hamsini, mm nazipeleka wapi?? Bora msingenipa[emoji34][emoji34]
 
Voda ni wazushi sana

Mrangi from gairo

Ova
 
Nimeambulia shs 580 tu nifanyeje ili niwarudishie Vodacom uchafu wao huu sitaki mikosi kwenye simu yangu

5AF513VD45N Confirmed.You have received Tsh580.00 from 219777 - M-PESA FAIDA on 15/1/18 at 7:50
 
Mnachokifanya ni kizuri sana ila nina mapendekezo kuhusu namna mnavyotoa gawio lenu.
Kulikoni kutoa 125, 150, 300, 500 au 750 kwanini msizichange ziwe nyingi halafu ndio mzitoe mfano: 5000 na kuendelea. Sina uhakika kama kuna mtu anapenda hizo 250, pesa yenyewe ni kama ya kufanya muamala wa simu moja kwenda nyingine.
Toeni kwa awamu na kwa watu wachache ili angalau kila anayepata nafsi iridhike la sivyo mtaambulia za uso kutoka kwa wateja wenu. Mimi nikiwa mmoja wao.
 
Back
Top Bottom