misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,643
- 9,339
Hakuwa nayo sasa ndio maana wamemkamata.Angekua na hidden camera je, asingepiga picha?
Ila kajitakia
Hakuwa nayo sasa ndio maana wamemkamata.Angekua na hidden camera je, asingepiga picha?
NdiyoHilo ni kosa la kunyimwa dhamana?
Wewe andamana huku JF huko mtaani huweziUnamshikilia mtu mahabusu kikatili halafu unakataza kupiga picha? Jambo la kipumbavu kabisa! Lakini najua hata kuandamana litakuwa ni kosa tena maandamano yetu yatakuwa kushinikiza utawala huu uondoke madarakani hivyo tutakuwa tunafanya uhaini! Ila tutaandamana maana ndiyo njia sahihi ya kupambana na mshenzi.
Siku hizi Police wao ndiyo wanaamua lipi kosa la dhamana na lipi si la dhamana.Hilo ni kosa la kunyimwa dhamana?
Kwani zamani nani alikuwa anaamua?Siku hizi Police wao ndiyo wanaamua lipi kosa la dhamana na lipi si la dhamana.
Lakini huyo mw/kiti kakosea kweli aisee unapigaje picha sehemu ile bila ruhusa au kibali....tena hiyo hali ya huko sijui ni kwann hakufikiria, sometimes tuache kuProvoke hao polisi,Hivi hawa polisi wetu hawana sura za haya na aibu?! Mbona wanafanya vitu vya aibu sana na kuidhalilisha serikali?!
Inategemea ni sehemu gani unapiga picha. Jeshini huruhusiwi,Polisi,Ikulu,Wodini mpaka kwa kibali. Tuheshimu mamlaka.Kwa hiyo siku hizi kupiga picha nikosa
Subili tu, iko siku isiyo na jina ikifika. Hata hiyo simu unayotumia kupost ujinga hutaiona!!Kama Kosa ambalo huyo Mwenyekiti wa BAVICHA amelifanya ndiyo hilo la kupiga Picha hapo Kituoni au mule ndani naungana na Polisi tena kwa 100%. Na kilichonisikitisha zaidi muda si mrefu nimetoka kupitia Kurasa ya Mbunge wangu na Mwanamke ambaye namheshimu kabisa na ni Mwanasheria mzuri tu Dada yangu Halima Mdee ambaye naamini kabisa kwamba hata Yeye anajua fika kuwa kupiga picha eneo la Polisi au mule ndani walipo wale Mahabusu ni Kosa lakini Yeye ( Halima Mdee ) amelaumu na kama vile Kudhihaki hatua iliyochukuliwa na Jeshi la Polisi.
CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.
CHADEMA badilikeni tafadhali.
Hutakiwi kumpiga picha mfungwa wala mahabusu, labda uwe na kibali Cha kufanya hivyo.Kwa hiyo siku hizi kupiga picha nikosa
Polisi wanauona uhalifu wa wapinzani tu kwenye siasa.....yule Mkurugenzi alewanyima barua za viapo vya kusimamia uchaguzi hadi kuvitoa baada ya watu kuandamana, yeye hakuvunja sheria!?Hata kwa hili bado mna mtetea? Hivi kweli hata hilo hamtambui ni kosa?
Uongo wako huo, eti hakuna polisi aliowahi kusifiwa duniani, duh ujuha wako huo!! Umetembea tandahimba!!Pia polisi hajawahi sifiwa dunia nzima,na ukiona raia anasifu polisi jua kuna sehemu polisi atekelezi kazi zake vizr
CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.
CHADEMA badilikeni tafadhali.
mlipeleka taarifa polisi kuwa mmenyimwa viapoPolisi wanauona uhalifu wa wapinzani tu kwenye siasa.....yule Mkurugenzi alewanyima barua za viapo vya kusimamia uchaguzi hadi kuvitoa baada ya watu kuandamana, yeye hakuvunja sheria!?
Watanzania tunapenda sana kukebehi misiba ya wenzetu lkn tunajua sana kutia huruma yakitupata
Mkuu naomba tukumbushie hizo marufuku zinapatikana katika kifungu gani cha sheria...?Inategemea ni sehemu gani unapiga picha. Jeshini huruhusiwi,Polisi,Ikulu,Wodini mpaka kwa kibali. Tuheshimu mamlaka.
Naona tuilaumu ccp maana haya ndio matunda yake.Hivi hawa polisi wetu hawana sura za haya na aibu?! Mbona wanafanya vitu vya aibu sana na kuidhalilisha serikali?!