Kamanda wa Polisi Kinondoni, Mussa Taibu amesema Msanii, Dudu baya anashikiliwa kituo cha polisi Oysterbay kwa mahojiano #MwananchiUpdates.
Current Updates.
Dudu Baya aachiwa kwa dhamana
Jeshi la Polisi limemuachia kwa dhamana msanii Dudu Baya baada ya kumshikilia kwa saa kadhaa katika kituo cha Polisi Oysterbay.
Current Updates.
Dudu Baya aachiwa kwa dhamana
Jeshi la Polisi limemuachia kwa dhamana msanii Dudu Baya baada ya kumshikilia kwa saa kadhaa katika kituo cha Polisi Oysterbay.