Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mkt wa BAWACHA Segerea bi. Agnesta Lambert anashikiliwa na Jeshi la Polisi Oysterbay na amenyimwa dhamana. Kosa analotuhumiwa ni kupiga picha.
Kiongozi huyo alikwenda kwa lengo la kumtembelea bi. Aida majeruhi wa risasi ambaye yuko mikononi mwa polisi siku ya 11 sasa.
------
Hongera Jeshi la Polisi kwa kusimamia maadili.
Kiongozi huyo alikwenda kwa lengo la kumtembelea bi. Aida majeruhi wa risasi ambaye yuko mikononi mwa polisi siku ya 11 sasa.
------
Hongera Jeshi la Polisi kwa kusimamia maadili.