M/kiti BAWACHA Agnesta Lambert, anashikiliwa kituo cha Polisi Oysterbay kwa kosa la kupiga picha mahabusu

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Mkt wa BAWACHA Segerea bi. Agnesta Lambert anashikiliwa na Jeshi la Polisi Oysterbay na amenyimwa dhamana. Kosa analotuhumiwa ni kupiga picha.

Kiongozi huyo alikwenda kwa lengo la kumtembelea bi. Aida majeruhi wa risasi ambaye yuko mikononi mwa polisi siku ya 11 sasa.

------
Hongera Jeshi la Polisi kwa kusimamia maadili.
 
Mkt wa BAWACHA Segerea bi. Agnesta Lambert anashikiliwa na Jeshi la Polisi Oysterbay na amenyimwa dhamana. Kosa analotuhumiwa ni kupiga picha.

Kiongozi huyo alikwenda kwa lengo la kumtembelea bi. Aida majeruhi wa risasi ambaye yuko mikononi mwa polisi siku ya 11 sasa.

------
Hongera Jeshi la Polisi kwa kusimamia maadili.

Kama Kosa ambalo huyo Mwenyekiti wa BAVICHA amelifanya ndiyo hilo la kupiga Picha hapo Kituoni au mule ndani naungana na Polisi tena kwa 100%. Na kilichonisikitisha zaidi muda si mrefu nimetoka kupitia Kurasa ya Mbunge wangu na Mwanamke ambaye namheshimu kabisa na ni Mwanasheria mzuri tu Dada yangu Halima Mdee ambaye naamini kabisa kwamba hata Yeye anajua fika kuwa kupiga picha eneo la Polisi au mule ndani walipo wale Mahabusu ni Kosa lakini Yeye ( Halima Mdee ) amelaumu na kama vile Kudhihaki hatua iliyochukuliwa na Jeshi la Polisi.

CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.

CHADEMA badilikeni tafadhali.
 
Kama Kosa ambalo huyo Mwenyekiti wa BAVICHA amelifanya ndiyo hilo la kupiga Picha hapo Kituoni au mule ndani naungana na Polisi tena kwa 100%. Na kilichonisikitisha zaidi muda si mrefu nimetoka kupitia Kurasa ya Mbunge wangu na Mwanamke ambaye namheshimu kabisa na ni Mwanasheria mzuri tu Dada yangu Halima Mdee ambaye naamini kabisa kwamba hata Yeye anajua fika kuwa kupiga picha eneo la Polisi au mule ndani walipo wale Mahabusu ni Kosa lakini Yeye ( Halima Mdee ) amelaumu na kama vile Kudhihaki hatua iliyochukuliwa na Jeshi la Polisi.

CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.

CHADEMA badilikeni tafadhali.
Mpelekeni huyo dada hospitali, atawafia kwa kidonda cha risasi. Ni aibu kwa jeshi la polisi.
 
Mambo ya kupiga au kutokupiga picha ni ujinga wa serikali na nchi za kijingajinga.
 
Unamshikilia mtu mahabusu kikatili halafu unakataza kupiga picha? Jambo la kipumbavu kabisa! Lakini najua hata kuandamana litakuwa ni kosa tena maandamano yetu yatakuwa kushinikiza utawala huu uondoke madarakani hivyo tutakuwa tunafanya uhaini! Ila tutaandamana maana ndiyo njia sahihi ya kupambana na mshenzi.
 
Back
Top Bottom