M/kiti BAWACHA Agnesta Lambert, anashikiliwa kituo cha Polisi Oysterbay kwa kosa la kupiga picha mahabusu

Hivi Polisi wanaogopa Dunia kuona wanavyohifadhi watu vibaya
Sasa tutaanza kuzitoa picha mpaka za ndani ya mabanda yao ya bati wanakoishi
 
Kama Kosa ambalo huyo Mwenyekiti wa BAVICHA amelifanya ndiyo hilo la kupiga Picha hapo Kituoni au mule ndani naungana na Polisi tena kwa 100%. Na kilichonisikitisha zaidi muda si mrefu nimetoka kupitia Kurasa ya Mbunge wangu na Mwanamke ambaye namheshimu kabisa na ni Mwanasheria mzuri tu Dada yangu Halima Mdee ambaye naamini kabisa kwamba hata Yeye anajua fika kuwa kupiga picha eneo la Polisi au mule ndani walipo wale Mahabusu ni Kosa lakini Yeye ( Halima Mdee ) amelaumu na kama vile Kudhihaki hatua iliyochukuliwa na Jeshi la Polisi.

CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.

CHADEMA badilikeni tafadhali.
Sheria za nchi hii zinafanya kazi upande mmoja tu shilingi.
 
Mkt wa BAWACHA Segerea bi. Agnesta Lambert anashikiliwa na Jeshi la Polisi Oysterbay na amenyimwa dhamana. Kosa analotuhumiwa ni kupiga picha.

Kiongozi huyo alikwenda kwa lengo la kumtembelea bi. Aida majeruhi wa risasi ambaye yuko mikononi mwa polisi siku ya 11 sasa.

------
Hongera Jeshi la Polisi kwa kusimamia maadili.
Yaani kwa ujinga huu hata waliokuwa wanampenda japo kidogo huyo mzee wa frastrations watamchukia tu nakwambia
 
Mkt wa BAWACHA Segerea bi. Agnesta Lambert anashikiliwa na Jeshi la Polisi Oysterbay na amenyimwa dhamana. Kosa analotuhumiwa ni kupiga picha.

Kiongozi huyo alikwenda kwa lengo la kumtembelea bi. Aida majeruhi wa risasi ambaye yuko mikononi mwa polisi siku ya 11 sasa.

------
Hongera Jeshi la Polisi kwa kusimamia maadili.
Agnesta Lambert. Ha ha ha, mzungu wa wapi huyu?
 
Hata marekani huwezi kuingia kituo cha polisi ukapiga picha bila kibali.

Kama unataka kujua sheria ipo au haipo chukua kamera yako nenda pale central polisi nje ya jengo uanze kulipiga picha halafu ndio utajua sheria vzr.


Huyo mwenyekiti kakosea acheni sheria ichukue hatua
 
ndugu zangu chadema hili ni kosa kisheria na linafahamika kwa sheria za jeshi la polisi/uhamiaji/magereza na hata jeshi la wananchi
ni kosa kupiga picha ukiwa ndani/nje ya kampaundi zao
 
Kama Kosa ambalo huyo Mwenyekiti wa BAVICHA amelifanya ndiyo hilo la kupiga Picha hapo Kituoni au mule ndani naungana na Polisi tena kwa 100%. Na kilichonisikitisha zaidi muda si mrefu nimetoka kupitia Kurasa ya Mbunge wangu na Mwanamke ambaye namheshimu kabisa na ni Mwanasheria mzuri tu Dada yangu Halima Mdee ambaye naamini kabisa kwamba hata Yeye anajua fika kuwa kupiga picha eneo la Polisi au mule ndani walipo wale Mahabusu ni Kosa lakini Yeye ( Halima Mdee ) amelaumu na kama vile Kudhihaki hatua iliyochukuliwa na Jeshi la Polisi.

CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.

CHADEMA badilikeni tafadhali.
Wakati Chadema wanalalamika kuonewa na nyinyi mnaona ni sawa...Nchi inaendelea kupoteza uhalisia wake.
Mbegu mbaya inaendelea kumea..na hii ni hasara kwa Taifa na vizazi vijavyo.
 
Kama Kosa ambalo huyo Mwenyekiti wa BAVICHA amelifanya ndiyo hilo la kupiga Picha hapo Kituoni au mule ndani naungana na Polisi tena kwa 100%. Na kilichonisikitisha zaidi muda si mrefu nimetoka kupitia Kurasa ya Mbunge wangu na Mwanamke ambaye namheshimu kabisa na ni Mwanasheria mzuri tu Dada yangu Halima Mdee ambaye naamini kabisa kwamba hata Yeye anajua fika kuwa kupiga picha eneo la Polisi au mule ndani walipo wale Mahabusu ni Kosa lakini Yeye ( Halima Mdee ) amelaumu na kama vile Kudhihaki hatua iliyochukuliwa na Jeshi la Polisi.

CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.

CHADEMA badilikeni tafadhali.

Nyie si mna bunduki na mabomu tuueni tu mubakie wenyewe.
 
Kama Kosa ambalo huyo Mwenyekiti wa BAVICHA amelifanya ndiyo hilo la kupiga Picha hapo Kituoni au mule ndani naungana na Polisi tena kwa 100%. Na kilichonisikitisha zaidi muda si mrefu nimetoka kupitia Kurasa ya Mbunge wangu na Mwanamke ambaye namheshimu kabisa na ni Mwanasheria mzuri tu Dada yangu Halima Mdee ambaye naamini kabisa kwamba hata Yeye anajua fika kuwa kupiga picha eneo la Polisi au mule ndani walipo wale Mahabusu ni Kosa lakini Yeye ( Halima Mdee ) amelaumu na kama vile Kudhihaki hatua iliyochukuliwa na Jeshi la Polisi.

CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.

CHADEMA badilikeni tafadhali.
Hata mbwa atakuwa na heshima kuliko baadhi ya wachangiaji! Jana Mambosasa kasema hakuna majeruhi mahabusu na kwamba tunapewa uthibitisho wa picha (hata kama ni kosa) mbwa wengine wanachukia!! Mbwa ni mbwa tu hata kama ni binadamu!
 
Usipige picha hapa... Unapiga..

Huyo dada hana tofauti na wale wanaoambiwa usifanye biashara hapa, halafu yeye ndio kwanza anapaki beseni lake la mihogo na machungwa..

Tii sheria bila shurti!
Mbona Pale ilala boma ofisi ya mkuu Wa mkoa kuna zuio la biashara lkn Bdo Kna watu wanafanya biashara

Ova
 
Unamshikilia mtu mahabusu kikatili halafu unakataza kupiga picha? Jambo la kipumbavu kabisa! Lakini najua hata kuandamana litakuwa ni kosa tena maandamano yetu yatakuwa kushinikiza utawala huu uondoke madarakani hivyo tutakuwa tunafanya uhaini! Ila tutaandamana maana ndiyo njia sahihi ya kupambana na mshenzi.
Pamoja na kushikiliwa kikatili lakini sheria haitoi opportunity ya kupigwa picha katika mazingira hayo. Alichopaswa kukifanya ni kuipiga kwa kificho na kiisambaza kwa kificho, lakini si kama alivyofanya huyo bint.
 
Kama Kosa ambalo huyo Mwenyekiti wa BAVICHA amelifanya ndiyo hilo la kupiga Picha hapo Kituoni au mule ndani naungana na Polisi tena kwa 100%. Na kilichonisikitisha zaidi muda si mrefu nimetoka kupitia Kurasa ya Mbunge wangu na Mwanamke ambaye namheshimu kabisa na ni Mwanasheria mzuri tu Dada yangu Halima Mdee ambaye naamini kabisa kwamba hata Yeye anajua fika kuwa kupiga picha eneo la Polisi au mule ndani walipo wale Mahabusu ni Kosa lakini Yeye ( Halima Mdee ) amelaumu na kama vile Kudhihaki hatua iliyochukuliwa na Jeshi la Polisi.

CHADEMA Watani zangu wa Kisiasa kama msipokuwa makini, kujitathmini na kuacha kuishi kwa mazoea na kutawaliwa na mihemko yenu kila siku mtakuwa mnalialia tu hovyo, kuilaumu Serikali / Mamlaka na Vyombo vyake vyote vya dola kuwa inawaonea wakati kumbe Kiuhalisia kuna muda nyie wenyewe ndiyo huwa mnakuwa sehemu ya matatizo ambayo yanawakumba.

CHADEMA badilikeni tafadhali.
Swali la msingi ni kwann ampige picha huyo Aida? na kwann leo?....Aida ni mhanga anayehitaji msaada kwa namna yoyote ile, ili kufanikisha hilo lazima kila mbinu itumike kuonesha ukweli iwe mbinu halali au isiyo halali! kuongeza msukumo kwa Jeshi la polisi kumtendea haki Aida. Ni rahisi kumlaumu mwenyekiti wa Bavicha lakini inahitaji uwendawazimu nakujitolea kufanya aliyoyafanya...Saidieni serikali ifanye reformation jeshi la polisi ili haki za raia zisikiukwe
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom