Lyrics Identification Challenge

Lyrics Identification Challenge

Unkinyonya haki yangu nayostahili
Nasimama kukukabili
Sikusomei albadili
Wala si’endi mahakamani na mawakili
Kanipa juu mamlaka sina fear kabisa
Tuna kila taarifa utajiri maarifa
Mi masihi mwafrika sime si-toshika
Ukinirusha saa sita
Nakumurder saa sita
Nkikukosa masika
Nakuuzia za vuli
Kama kaka nimekuwa
Kwa madogo kivuli
Shetani kwenye mnada namuuza bei nzuri
Mungu baba anajua huyu mwanangu ki-buri
Nasimama kama moya
Niongezee masifuri
Depo ilikuwa ni daraja mbili so njoo vizuri
mwandiko wa joh kabisa
 
Kabla sijameza mate wala sijabuni sala
Naambiwa walikuja wazabuni kwa biashara
Na kwakua nilichelewa kufungua ofisi
Mchongo ukafa, nimeingizia kampuni hasara

Baada ya masaa kibao ya kufikiri
Ofisi ikaweka kikao kunijadili
Waliniona driver nimeangusha basi
Wakafikia mwafaka wakunifukuza kazi

Nikatahamaki, sikujua lakufanya
Pale kwenye kamati hakuna wa kumtazama
Nikahisi ni mipango ya kikuda imefanywa
Sio gari tu, maana hata nyumba nilinyang'anywa

Nikajiuliza huruma imekwenda wapi?
Kila mtu alijua kua nilipenda kazi
Niliheshimu kama navyoheshimu ndoa ama mzazi
Ama muumba, leo nimepata doa kwenye shati

Acha familia, vipi deni la ofisi
Wamenipa mwezi, nikifeli watanifilisi
Mtoto shule, pia bunju nina shamba la kukopa
Sijalipa na kijiji nina ndugu wa kutosha
Dizasta mwenye vina vyake
 
I am the topic of conversation, this is celebration
Let's toast to the fact that I've moved out my mama's basement
To a condo downtown, 'cause it's all about location
I sit and drink wine and watch Californication, to life
You shoulda been here to kick it with me
We could have split this whole thing up 50/50
But now I'm at the 40/40 getting bitches tipsy
 
Kabla sijameza mate wala sijabuni sala
Naambiwa walikuja wazabuni kwa biashara
Na kwakua nilichelewa kufungua ofisi
Mchongo ukafa, nimeingizia kampuni hasara

Baada ya masaa kibao ya kufikiri
Ofisi ikaweka kikao kunijadili
Waliniona driver nimeangusha basi
Wakafikia mwafaka wakunifukuza kazi

Nikatahamaki, sikujua lakufanya
Pale kwenye kamati hakuna wa kumtazama
Nikahisi ni mipango ya kikuda imefanywa
Sio gari tu, maana hata nyumba nilinyang'anywa

Nikajiuliza huruma imekwenda wapi?
Kila mtu alijua kua nilipenda kazi
Niliheshimu kama navyoheshimu ndoa ama mzazi
Ama muumba, leo nimepata doa kwenye shati

Acha familia, vipi deni la ofisi
Wamenipa mwezi, nikifeli watanifilisi
Mtoto shule, pia bunju nina shamba la kukopa
Sijalipa na kijiji nina ndugu wa kutosha
Dizasta siku mbaya
 
...I've been down on the rock so long,
I seem to wear a permanent screw, But I'm gonna stare in the sun, Let the rays shine in my eyes, I'm gonna take a just one step more, Cause I feel like bombing a church, now, Now that you know that the preacher is lying....

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mi ni mshindi..hakuna aliyekwamua hii

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kitaa kuna wanyama njoo uone vicheche ukiweza tembeza rungu kama comrade kipepe

Wasanii wanaigiza kaole cd dukani kina dada wanaigiza ulokole miili buchani.
 
Mama Janeth ee!, ngoja kitambaa,...nkufute nkufute, nyamaza kulia...kiatu chako ee! hakuna atakayekivaa...mbingu ardhi ipasukee, kwa unavyoumia.
 
Sorry, that's another B,
haters still ain't recover from the other B, mnh!
That's a double B,
Now that's a triple B,
Can't forget 'bout the other B (Hey)
 
Back
Top Bottom