Lyrics Identification Challenge

Lyrics Identification Challenge

Kabla sijameza mate wala sijabuni sala
Naambiwa walikuja wazabuni kwa biashara
Na kwakua nilichelewa kufungua ofisi
Mchongo ukafa, nimeingizia kampuni hasara

Baada ya masaa kibao ya kufikiri
Ofisi ikaweka kikao kunijadili
Waliniona driver nimeangusha basi
Wakafikia mwafaka wakunifukuza kazi

Nikatahamaki, sikujua lakufanya
Pale kwenye kamati hakuna wa kumtazama
Nikahisi ni mipango ya kikuda imefanywa
Sio gari tu, maana hata nyumba nilinyang'anywa

Nikajiuliza huruma imekwenda wapi?
Kila mtu alijua kua nilipenda kazi
Niliheshimu kama navyoheshimu ndoa ama mzazi
Ama muumba, leo nimepata doa kwenye shati

Acha familia, vipi deni la ofisi
Wamenipa mwezi, nikifeli watanifilisi
Mtoto shule, pia bunju nina shamba la kukopa
Sijalipa na kijiji nina ndugu wa kutosha
Siku mbaya-dizasta vina
 
Four scores and seven years ago, our fathers brought forth in this continent, a new nation conceived in liberty, and dedicated to the proposition that everyone was created equal and now we are in days of...
 
bado bwana mdogo ila wakubwa wananisalimia
mtu kimaisha akiunguka wanamsaidia
kiroho zaidi huwa sijui kuvunga kama black spear
vip unaskia na unaamini, wakati umefunzwa usiamini tu
usichokiona my dear.....
 
Moja nikawakanya,mbili nikawafata askari nikawaonya maneno ya kipumbavu waache kuyatawanya,
Laa sivyo kitu kibaya ningewafanya,

Ndipo wakadhani et nilikuwa nawadanganya,
Nilipoondoka nyumaa wakanisonya,
nikapiga simu na boss wao nikamkanya,


Twende na hiyo wale malegendar
 
1,9,8,9 novemba 14,
Mbele ya mlango wa kanisa nikazaliwa mtoto wa kiume,
Mama alikuwa na happy coz sikupata kasoro,

Najua haujui wapi ilikuwa mji kasoro,kwavile the last born nilidekezwa usiku na mchana,

Nilipenda Sana corn kuliko ziwa la mama,hawakujua dalili Ni Nini kitatokea,

Kumbe Ni rapa mahili ndo hivo nilijongea,mara nikaanza kurap
Masela wakaniita fara,

Hey man please stop fanya mziki wa biashara,nilitaka niache kuchana nianze kubana pua,
Hawakujua nachofanya Kama siku nitatusua.
Mademu waliniita popo kwavile sikuwap...
Mixer kurusha makopo kipindi Cha talent show.


kazi kwenu
 
Feeling my way through the darkness guided by a beating heart i can't tell where the journey will end but i know where to start they tell me i'm too young to understand they say i'm cought up in a dream well life will pass me by if i don't open up my eyes well that's fine by me. So wake me up when it's all over.



one of my all the time favorite song
 
Feeling my way through the darkness guided by a beating heart i can't tell where the journey will end but i know where to start they tell me i'm too young to understand they say i'm cought up in a dream well life will pass me by if i don't open up my eyes well that's fine by me. So wake me up when it's all over.



one of my all the time favorite song
Wake me up-Avicii
 
Feeling my way through the darkness guided by a beating heart i can't tell where the journey will end but i know where to start they tell me i'm too young to understand they say i'm cought up in a dream well life will pass me by if i don't open up my eyes well that's fine by me. So wake me up when it's all over.



one of my all the time favorite song
,,,wimbo gani uo?
 
Four scores and seven years ago, our fathers brought forth in this continent, a new nation conceived in liberty, and dedicated to the proposition that everyone was created equal and now we are in days of...
Hii nyimbo gani?
 
Kabla sijameza mate wala sijabuni sala
Naambiwa walikuja wazabuni kwa biashara
Na kwakua nilichelewa kufungua ofisi
Mchongo ukafa, nimeingizia kampuni hasara

Baada ya masaa kibao ya kufikiri
Ofisi ikaweka kikao kunijadili
Waliniona driver nimeangusha basi
Wakafikia mwafaka wakunifukuza kazi

Nikatahamaki, sikujua lakufanya
Pale kwenye kamati hakuna wa kumtazama
Nikahisi ni mipango ya kikuda imefanywa
Sio gari tu, maana hata nyumba nilinyang'anywa

Nikajiuliza huruma imekwenda wapi?
Kila mtu alijua kua nilipenda kazi
Niliheshimu kama navyoheshimu ndoa ama mzazi
Ama muumba, leo nimepata doa kwenye shati

Acha familia, vipi deni la ofisi
Wamenipa mwezi, nikifeli watanifilisi
Mtoto shule, pia bunju nina shamba la kukopa
Sijalipa na kijiji nina ndugu wa kutosha
Sikh mbaya_Dizasta vina
 
"Naposamehe walionikosea haimaniishi nitawasahau

Nitawadharau ikitokea wakapotea kwa ubishi wao

Ikiwa kuishi kwao bila kusifiwa ai-fit kwao basi ma-snitch wao watakabidhiwa stitches zao.

I go harder sio mikwara ka Gosby, sirap kifala ukilinga wala sio Nyosh, nipo deep bhana ka sigara mie moshi, Kankara ya warawara haitoshi..."
Fid q ..... Jna la wimbo nimesahau kdg
 
"Nipikie kuku kuku,
Hizi hela nususu,
Za madera zikikukera niambie duku duku,
Hali ya hewa inaruhusu,
Tukikaa tupu tupu,
Ukaniama nikaunga tela huku nashika supu supu.."
Young killer secreto
 
It is over now
I can't go back to live through your eyes
Too many lies
And if you don't know by now I can't go back to being someone else
Not anymore
I never had the chance to do things my way
So now its time for me to take control

wa nani huu?
Whitney Houston
 
Back
Top Bottom