Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,745
- 8,229
Aje wadau,
Tuchangamshane kwa kutambua lyrics za nyimbo mbali mbali, andika lyrics wadau wajaribu kuzitambua ni za wimbo gani kwa kutaja jina la wimbo, tukifeli unatusaidia kushare wimbo husika. Let the challenge begin.
Me naanza na Lyrics hizi:
"Mtoto huyu hatari miondoko,
Hana mpinzani kama ni soko,
Kimataifa mpaka local,
Mtoto chuma chumbani moto,
Mtoto we chuma shamba ni lako,
Mkulima mimi changu ni chako,
Ushanisoma hii miondoko,
Jijini homa ni juu yako,
Kwetu lini utakwenda,
Vipo vingi utapenda,
Utotoni to Wahenga...."
Niambie ngoma gani hiyo. Mdau weka zako (lugha yoyote) utu-challenge.
Tuchangamshane kwa kutambua lyrics za nyimbo mbali mbali, andika lyrics wadau wajaribu kuzitambua ni za wimbo gani kwa kutaja jina la wimbo, tukifeli unatusaidia kushare wimbo husika. Let the challenge begin.
Me naanza na Lyrics hizi:
"Mtoto huyu hatari miondoko,
Hana mpinzani kama ni soko,
Kimataifa mpaka local,
Mtoto chuma chumbani moto,
Mtoto we chuma shamba ni lako,
Mkulima mimi changu ni chako,
Ushanisoma hii miondoko,
Jijini homa ni juu yako,
Kwetu lini utakwenda,
Vipo vingi utapenda,
Utotoni to Wahenga...."
Niambie ngoma gani hiyo. Mdau weka zako (lugha yoyote) utu-challenge.

wa nani huu?