geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 642
- 912
Siku zooooote uwa nasema na bado ntaendelea kusema, TATIZO KUBWA AZAM FC NI VIONGOZI period. Azam fc ina kila sbb ya kufika mbali na kuziacha simba na yanga kama wangekua na viongozi weledi kwenye soka. Thank God, nimeacha kuifatilia maana inaniumiza tu.