Lwakatare ataichafua Tanzania

Lwakatare ataichafua Tanzania

Atachafuliwa Lwakatare na cdm pekeyao!

Mkuu huu ni wakati muafaka wa ku-discuss msitakabali wa taifa letu kwa manufaa yetu sote na vizazi vyetu; Inasikitisha sana kwa watu wenye mawazo mgando kama wewe mnaleta mzaha na ushabiki wa vyama, mkuu kumbuka hivi vyama vitapita, lakini Tanzania na maisha ya watanzania yataendelea kusonga mbele bila kujali ni kwa style gani.
 
Mbona alipouawa yule father kule znz muliusherehekea ugaidi, aunyinyi huwa munafuata mkumbo tuu hamkujua kama nchimbi anarusha kete yake ya kupatia misaada kutoka nchi za magharibi.

Tusiwe watu wa kukurupuka tuu.

nawala musitegemee kabisa kuwaserikali itakula hasara kwa kujitangaza kuwa tz tumeingiliwa na magaidi labda kufaidika na misaada na pesa nyingi sana kwenye huu mfuko wa ugaidi inayotolewa na nchi za magharibi.
 
Kwa kuwa kiongozi wa Chadema anahusika na ugaidi ndio unataka Mahakama isimhukumu kwa ugaidi aliopanga kuufanya? ili kujipendekeza kwa watalii? hivi ulisoma shule wewe? sheria ya ugaidi ilipitishwa na Bunge na kama kuna magaidi wacha sheria ichukue mkondo wake! mbona Waziri Nchimbi aliposema Zanzibar kuna ugaidi mlifurahia? Zanzibar mnakiri kuna magaidi lakini wa kutoka bara mnataka wafichwe au washtakiwe kama majambazi! uhasidi na chuki ni vitu hatari sana!

Mkuu una maanisha kila akisemacho Nchimbi ni sahihi?
 
Kuna haja ya kuelewa vizuri maana ya ugaidi maana naona kila mtu anaimba ugaidi bila kuelewa tafsiri yake halisi.

Leoo ww ndio unataka ujue maana ya ugaidi muulize mh.mchimi utapata jibu
 
Itapongezwa kwa kuwa na mbiu za kukamata magaid,maana ugaid upo na unalipotiwa.so wakae kimya kuogopa kusema vbya.waaaap
 
Cha msingi haki itendeke.

Hayo mambo ya kuichafua nchi hayapaswi kuwa kizingiti cha haki kutendeka.

Kwani nchi gani hakuna ugaidi mpaka itunyooshee kidole. Labda Vatican peke yake ndio hakuna ugaidi.

Mkuu waweza kutuambia nini maana ya ugaidi na gaidi ni mtu wa aina gani ? Kwani nimeona kuna hatari ya kuendelea kuchangia kitu ambacho mimi na wewe hatukifahamu.
 
Mtoa uzi nafikiri kaleta topic nzuri ila wachangiaji wakati mwingine wengine wanakurupuka kutukana tu basi. Mi nafikiri hii ni topic nzuri ya kujadili maana kama mtu ansingiziwa kufanya mambo mazito hivyo wazungu hawataelewa kuwa kasingiziwa wataanza kuilabel Tanzania kuwa nchi ya magaidi.
 
hakuwalenga wale watembeza sumu bar aka chemical ally

Well noted Mr.Joseph Kony.Siku hizi umeingia na M23

Good,Achana na majina kama Theresia John.Hivi huendi Mbozi ama unamgwaya mwenyekiti wa Mkoa?
 
"Ni mambo yale yale, walianza chama hiki cha familia ya Mtei na Mbowe, ikashindikana, chama hiki cha kikabila, cha Wachaga… ikashindikana, wakasema chama hiki cha kaskazini, imeshindikana, wamesema chama hiki cha wakatoliki, ikashindikana, wamesema chama hiki cha wakristo bado Watanzania wamekataa, iemshindikana pia… Sasa unafanyaje? Tengeneza hii kitu, sasa kiwe chama cha magaidi…ITASHINDIKANA pia,"
 
Wanaoichafua nchi ni hao wanaokaa chini na kutunga upuuzi huu ambao wanashindwa kuutetea na kuanza kubadilisha mashitaka
 
Mwanangu, hakuna Tanzania safi itakayochafuliwa na Rwakatale. Kwa taarifa yako mwanangu, serikali ndiyo imechafua sana Tanzania. Moja wapo ya uchafu ni hili sakata la kugushi la Rwakatale, na mengine mengi. Pengine ufikirie h,oja yako kwa mtazamo huu "wanaoumba umba masuala ya Rwakatale wanazidi kuichafua Tanzania.
 
Tunataka kujenga hisia kama sisi tuko sensitive zaidi ya wazururaji wa nchi za magharibi wanaokwenda Tanzania.

Balozi zao siyo kama balozi zetu huku kwao. Kinachoendelea wanakifahamu vizuri sana na ikumbukwe kuona habari ya Tanzania kwenye Television za Nchi za Magharibu mpaka kuwe na jambo kubwa hasa limefanyika. Sana sana watembezi wanachofanya ni kupata updated information/alert wanapotaka kutembelea.

Kama wameweza kwenda na kuwekeza Irak na afrighanistan pamoja na milipuko ya mabomu kila kukicha, utalinganisha na ugaidi wa mtu mmoja Tanzania.

Kama mauwaji yaliyofanyika kusini na mwanza yanasemwa tu ni violent disturbances lakini wanamalizia kwa kusema nchi ni Trouble free, sioni kama hili la Ugaidi kama linaweza kuzidi matukio hayo.

Balozi za wenzetu zilizoko Tanzania ukiingia kwenye tovuti zao unapata kila kitu kwa sababu wanaifahamu Tanzania zaidi hata ya wananchi wa Tanzania wenyewe.

Cha kushangaza, kwenye nchi hizi za Magharibi, ni watu wachache wanaoifahamu kwa undani Tanzania bara na wengi wao wameifahamu kutokana na mabaya ya Mzee Osama aliyofanya kwenye balozi zao.
 
Kilichoichafua Tanzania ni
  • Kuuawa kwa mwandishi,
  • Kuuawa kwa viongozi wa dini,
  • Kutekwa na kuteswa kwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi
  • Kutekwa na kuteswa kwa mwandishi mwingine
  • Kumwagiwa sumu watu mbalimbali au kuumizwa na vitu vyenye ncha kali
  • Uchochezi mbalimbali unaoendelea, na
  • Maovu mengine dhidi ya binadamu

lwakatare anashitakiwa kwa kupanga njama za kumteka na kumdhuru mwandishi wa habari. walipodhuriwa mlilalamikakuwaerikali nidhaifu haiwezi kuwalinda raia wake.leo imechukua hatua za kisheria mnalalama tena kwamba dolalinaionea chadema au ndomwataka tuamini kuwa hawa makamanda ni malaika hawajui hata kutenda makosa. kauli aliyoitoa mbowe juzi angelikuwa ameitoa nape kwenye kesi ya mramba au wanachama wenzake wa ccm hayumkii mngelishangilia sana. ilakimsingi lazima cmd wafanye mambo kama watu wenye akili timamu. maanaukicheck mfululurizo wa kauli zao utaona wanatafuta cheap priority. mfano lema alipovuliwa ubunge alikwenda kulalama kwenye kaburi la baba yake wa taifa huko butiama kuwa nchi haitendi haki. ilapale alipokuja kurejeshewa ubunge wake alisemaje .....? acheni mchezo wa kuropoka acheni kila mtu afanye kazi yeke kwa weledi sote tuijenge tanzania.
 
Kwa kuwa kiongozi wa Chadema anahusika na ugaidi ndio unataka Mahakama isimhukumu kwa ugaidi aliopanga kuufanya? ili kujipendekeza kwa watalii? hivi ulisoma shule wewe? sheria ya ugaidi ilipitishwa na Bunge na kama kuna magaidi wacha sheria ichukue mkondo wake! mbona Waziri Nchimbi aliposema Zanzibar kuna ugaidi mlifurahia? Zanzibar mnakiri kuna magaidi lakini wa kutoka bara mnataka wafichwe au washtakiwe kama majambazi! uhasidi na chuki ni vitu hatari sana!

kaazi kwelikweli kanatoa na mapovu kabisa hahahahahaaaaaaaaa
 
Halafu unasikia mkuu wa
nchi na Mwenyekiti wa CCM anasema vijana msishabikie wanaoisema nchi
vibaya.Hillarious indeed!

mkuu,kwa upeo wa huyu boyz to men nimeshuhudia kwa macho yng kitaa std vii akideclare kuwa ana uwezo wa kuongoza hii nchi na mambo yakawa swadakta kabisa,c zereu hii kwa wasomi?
 
Back
Top Bottom