Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
Upungufu wa akili mwilini, watu wanaongelea mambo ya kitaifa wewe unawaza vyama.
Nilichojifunza kwa sasa JF,ukitaka usipigwe BAN ukiona mtu ameandika kitu ambacho kinakera,ni bora usimjibu,iache post yake ikae kama ilivyo mwisho wa siku atajifunza UZALENDO na UBINADAMU kwa lazima.Kama huyu uliyemjibu hakustahili kujibiwa na kupoteza muda wako.Kwani ni kati ya wale wachache wanaonufaika n amfumo tulionao kwa sasa.