Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
hizo ni fact kama una capacity si uzi challenge?
Fact? Ha ha haaaa ni sawa na ule upuuzi wa kung'ang'ania eti YESU ni issa
hizo ni fact kama una capacity si uzi challenge?
sasa mkuu utaendelea kuugopa ukweli mpaka lini?.msimamo upi? Huwa sisomi `copy and paste' za mitandao
Fact? Ha ha haaaa ni sawa na ule upuuzi wa kung'ang'ania eti YESU ni issa
mkuu mi nakushauri kwa moyo mweupe kabisa soma hapo juu msimamo wa dini ya kiyahudi kuhusu yesu,nina hakika utakuwa aware ya nini hasa ama wapi unaposimamia.kama husomagi copy na paste ntakuwekea link sasa ivi.Fact? Ha ha haaaa ni sawa na ule upuuzi wa kung'ang'ania eti YESU ni issa
au yesu ni jesus.
ngoja tusubiri asome then atupe conclusion yake.ila nahofu atadai hasomagi mambo hayo.Hapo sasa.
Tokea lin jina likawa na translation.
Kama Ibrahim wanamuita Abraham.
Musa Wanamuita Moses..
Isihaqa wanauita isaac...
Atleast kuna mshahabiano wa matamko.
Sasa yesu na jesus wapi na wapi?
au yesu ni jesus.
mkuu mi nakushauri kwa moyo mweupe kabisa soma hapo juu msimamo wa dini ya kiyahudi kuhusu yesu,nina hakika utakuwa aware ya nini hasa ama wapi unaposimamia.kama husomagi copy na paste ntakuwekea link sasa ivi.
ndivyo wanavyowafundisha kuwalisha -----, hata wangewaambia waisrael a.k.a mayahudi kama mlivyoambiwa muwaite, walitoka mtwara mngekubali. kama hivyo, unajua maana ya ashkenaz jews?asili ya waisrael waliopo pale ni spain na sehemu za italia, tatizo lako umejaa dharau na udini hautaki hata kusoma au kufuatilia,,,, usiendeshwe na hisia
ngoja tusubiri asome then atupe conclusion yake.ila nahofu atadai hasomagi mambo hayo.
ndivyo wanavyowafundisha kuwalisha -----, hata wangewaambia waisrael a.k.a mayahudi kama mlivyoambiwa muwaite, walitoka mtwara mngekubali. kama hivyo, unajua maana ya ashkenaz jews?
kwa kukusaidia, wayahudi wengi walikuwa ulaya ya poland, Germany, russia, ufaransa na marekani. wengine wengi walitoka yemen na hadi leo wako na utamaduni wa kiyemen. hiyo ni list kidogo tu kukuondoa ukoko kichwani kwako.
msimamo upi? Huwa sisomi `copy and paste' za mitandao
tatizo hawa jamaa wanaiga kila tendo la mtume mwamedi(suna), HADI UJINGA WA MWAMEDI
sasa mkuu huoni kuwa umejiunga na hao wa 666?.unanifundisha nini wakati ugumu wa wayahudi upo katika Biblia?
Hivi hadi sasa hujui kwa nini mwamed alituita pamoja kama WATU WA KITABU?
In short anajua tutakuwa pamoja wakiongoka na kuchelewa kwao kuongoka ni kutimiza unabii
Subiri siku yaja wenye alama ya shetani kwenye paji, 666, la uso watakiona
sasa mkuu huoni kuwa umejiunga na hao wa 666?.
Hujui kuwa kina Rothchild ndo wazee wa new world order,dunia moja,serikali moja,dini moja na kuwa ndo hawahawa wameanzisha taifa la israel.
Kwamaana ingine wao ndo walijipa kazi ya masiha ya kulisimamisha taifa la israel.je wajua hata kiwanja cha UN pale manhatan alikitoa mmojawao wa hawa watu.unadhani ni kwanini kuna UN RESOLUTION nyingi against israel kuliko nchi zote za dunia combined lakini huwa hazifanyiwi kazi.?
Si ndo hawa yesu alidai kuwa ni wa sinagogi la shetani?
Na inasemwa hata mpinga kristo atakua myahudi?.
Kwanini sasa uwe upande wa hawa watu?
hata spain imetoa jews,unambishia tu.ashekenaz ni group moja tu tena inadai kijenetics wao si jews bali wamekua converted ,na ndo wamekamata madaraka hapo israel,yesu alitabiri ujio wa hawa watu watakaodai wao ni wayahudi wakati si wayahudi.ndivyo wanavyowafundisha kuwalisha -----, hata wangewaambia waisrael a.k.a mayahudi kama mlivyoambiwa muwaite, walitoka mtwara mngekubali. kama hivyo, unajua maana ya ashkenaz jews?
kwa kukusaidia, wayahudi wengi walikuwa ulaya ya poland, Germany, russia, ufaransa na marekani. wengine wengi walitoka yemen na hadi leo wako na utamaduni wa kiyemen. hiyo ni list kidogo tu kukuondoa ukoko kichwani kwako.
hguwa husomi lakini huwa unaweka na kumezea ,tena wakati mwengine unatumia ids nyengine usijulikane , teteteeeea
kwani mungu wenu aliolewa , mbona makanisani mnaoana watu wa jinsia moja au huo kwako wewe sio ujinga ni uwerevu??