johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amesema Hayati Dkt. Magufuli amefanya mambo mengi na kuna Watu walikuwa hawachaguliki kwenye Uongozi lakini kipindi cha Magufuli walipata nafasi
Amesema wanaotaka Mradi wa Mwl. Nyerere usitishwe hawaelewi faida za mradi huo na tayari Serikali imeshatumia Trilioni 2 hivyo haiwezekani kuacha hizo fedha ziteketee
Ameongeza kuwa, wanaomsema Dkt. Magufuli ndio haohao watakaomsema Rais Samia Suluhu Hassan pindi atakapoondoka
Spika Ndugai apendekeza Lusinde apewe Udaktari wa heshima
Amesema wanaotaka Mradi wa Mwl. Nyerere usitishwe hawaelewi faida za mradi huo na tayari Serikali imeshatumia Trilioni 2 hivyo haiwezekani kuacha hizo fedha ziteketee
Ameongeza kuwa, wanaomsema Dkt. Magufuli ndio haohao watakaomsema Rais Samia Suluhu Hassan pindi atakapoondoka
Spika Ndugai apendekeza Lusinde apewe Udaktari wa heshima