Lusinde: Mimi mbunge nina laini moja, 'Mama Ntilie' ana laini nne za nini?

mtoto wa kakake job lusinde

Kama Open University imeshindakana basi ni vema familia wakaingilia kati, wamfanyie home-schooling. Jina Lucinde ni kubwa hivyo kila mwanafamilia including "uncle" wajitahidi kulipa jina hadhi stahiki.
 
unajua nimekuwa namsikiliza sana Lusinde lakini tatizo siyo yeye ni lile kabila analotoka..maana kuna mwingine ni mkubwa humu JF naye mawazo yake ni kama lusinde kabisa na ni kabila la lusinde ..Naye alitaka kugombea mambo haya ya ubunge kiingereza kikamuangusha...teeeeh
 
ivi huyo muandishi aliyeenda kumhoji uyo jamaa alitegemea nini haya ndo matokeo yake angeongezwa swali ungeskia kudadadeki haha
 
Sijui km kichwa chake nikizuri. Ameshindwa kufahamu kuwa, kuwa naline tofauti nikuwa kila kampuni ya simu na simu yake kwa walslahoi. Siwezi kutumia tigo line kwenda airtell .
 
unajua nimekuwa namsikiliza sana Lusinde lakini tatizo siyo yeye ni lile kabila analotoka..maana kuna mwingine ni mkubwa humu JF naye mawazo yake ni kama lusinde kabisa na ni kabila la lusinde ..Naye alitaka kugombea mambo haya ya ubunge kiingereza kikamuangusha...teeeeh

He he he! We nawe mhuni sana! Namjua unaem-refer! Dah! Unajua saa nyingine JF is full of literature!
 
Dah, full of satirical language, frictions and non friction! actualy, JF is full of literature! Ha ha! You guys, thanx at least i smiled tonite!
 

Akihojiwa na Mtangazaji wa TBC1 Victoria Patrick nje ya ukumbi wa bunge hapa Dodoma, Mbunge Lusinde amesikika akisema hayo yafuatayo.

" Mimi Mbunge nina Laini Moja, Mama Ntilie ana Laini Nne za Nini???

It was very sad to hear cheap argument from politician. Any ways huyo ndie Lusinde...Kudadadeki!!
!!!!!!
teh teh, kwani ile line ya kudadadeki alimpa nani?
 
unajua nimekuwa namsikiliza sana Lusinde lakini tatizo siyo yeye ni lile kabila analotoka..maana kuna mwingine ni mkubwa humu JF naye mawazo yake ni kama lusinde kabisa na ni kabila la lusinde ..Naye alitaka kugombea mambo haya ya ubunge kiingereza kikamuangusha...teeeeh

Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
 

Akihojiwa na Mtangazaji wa TBC1 Victoria Patrick nje ya ukumbi wa bunge hapa Dodoma, Mbunge Lusinde amesikika akisema hayo yafuatayo.

" Mimi Mbunge nina Laini Moja, Mama Ntilie ana Laini Nne za Nini???

It was very sad to hear cheap argument from politician. Any ways huyo ndie Lusinde...Kudadadeki!!
!!!!!!

Hivi amesema line ngapi au cim ngapi? Huyu dogo si mzima huyu!
 
Kweli wabunge wanalewa sana hizo posho na mishahara yao wanasahau asili yao,hata kama ana wazazi wanaokaa vijijini lazima watakuwa na simu/line zaidi ya moja ajili kupunguza gharama za cross network!!kama shule hana hata ku copy kwa wabunge wenzake hawezi???
 
Kuwa na line nne Si hoja swala Ni kupunguza gharama za simu hawa sasa wanaaza kuwa wajinga vitu vya msingi hapana makampuni kibao hayalipi kodi badala ya kuyabana yalipe kodi unazungumzia line za simu hii ni akili kweli au matope.
 
Kilazi mwingine huyu hajui mama ntilie ndio wanamlea? au anawatukana hata wazazi wake wametoka wapi mpaka alipo? au amesahahu?
 
kunauwezekano mama ntilie wanahangaika kwa kuuza vyakula ila wazazi wake mpaka kumfikisha hapo alikpo walikuwa wana pika gogo ili apate hata ada ya kwenda shule pamoja na chakula aache ujinga wafikiria kwa kutumia masaburi
 
Watu Wanamaliza Bytes za Bure kwa Kuliweka Hili "dubwana" kwenye Youtube!! Wacha wafu wawazike Wafu Wenzao!!
 
Back
Top Bottom