Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Kumbe Lusinde sio kichaa kama anavyodai bali ni kuwa kichwani mwake hakuna kitu.
Elimu yake ni darasa la saba (STD 7) tena ya kufeli.
Anachojua ni kusoma na kuandika, basi, hana ujuzi mwingine.
Hali hiyo ndiyo imempelekea kujitangaza kama kichaa wa kuzaliwa na kujaribu ujuzi wa matusi.
Binafsi namshauri kuwa, ni aibu kubwa kwa kijana Mbunge, Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM kuwa kilaza.
Namshauri ajiandikishe masomo ya Form One. Japokuwa atakuwa na watoto lakini itamsaidia kugundua ujinga wake !!!
Elimu yake ni darasa la saba (STD 7) tena ya kufeli.
Anachojua ni kusoma na kuandika, basi, hana ujuzi mwingine.
Hali hiyo ndiyo imempelekea kujitangaza kama kichaa wa kuzaliwa na kujaribu ujuzi wa matusi.
Binafsi namshauri kuwa, ni aibu kubwa kwa kijana Mbunge, Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM kuwa kilaza.
Namshauri ajiandikishe masomo ya Form One. Japokuwa atakuwa na watoto lakini itamsaidia kugundua ujinga wake !!!