Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Kigogo kasema hivi..!Thubutu,
Juzi tu alikuwa amekumbatiana naye kigamboni.
Yule bi bmdogo. Bado hamuelewi tuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigogo kasema hivi..!Thubutu,
Juzi tu alikuwa amekumbatiana naye kigamboni.
Yule bi bmdogo. Bado hamuelewi tuu?
Subirini wanaume wakae ili nyie wengine mjifunze maana ya kuendesha chama kama taasisiHiki kikao kiliahirishwa ilikuwa kifanyike jumatatu naona Kinana na Makamba walichafua sana hewa.
Hilo la wafanyikazi wa umma ni dogo, ila kufunga barabara kuna umiza umma mkubwa kuwachelewesha na msongamano wanmagari sehemu nyingi, kwa barabara moja tuu.Hivi vikao vya chama ilitakiwa vifanyike Weekend au siku zisizo za kazi kwa kuwa Watendaji Wakuu wa chama ni watumishi wa Umma na wanalipwa mishahara na serikali.
Kuna vigogo kadhaa kutoka CHADEMA wanapokelewa. yumo Prof mmoja!
Kuna vigogo kadhaa kutoka CHADEMA wanapokelewa. yumo Prof mmoja!
Wanakwenda kujadili barua walizo limwa na jumuia za kimataifa.. Soon tutasikia demokrasia imeanza kurudi mahali pake. Maana hivi sasa polisi wapo kwa ajili ya CcmMikakati tu ya kuiba kura.
akina Kinana na Makamba watakwepo,ukimwacha kachero wa gusa ni nukeWadau,
Kamati Kuu ya Halmashauri ya Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi inakutana leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.
View attachment 1355238*****
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli akipokelewa na Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally
View attachment 1355241
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ndg Ali Mohamed Shein akipokelewa na Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally
View attachment 1355244
Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimuongoza Mjumbe wa Kamati Kuu na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu
View attachment 1355247
Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimpokea Ndg Kassim Majaliwa, Mjumbe wa Kamati Kuu na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Nimepita maeneo ya Lumumba muda huu naona shughuli zimekuwa nyingi sana!
Hata barabara inayokatiza mbele ya Lumumba imefungwa kwa muda.
Tusubiri Yatakayojiri!
YALIYOJIRI:
Kamati ya Usalama na Maadili imepewa Siku 7 kukamilisha na kukabidhi Taarifa Ya Mahojiano Yaliyofanywa na Viongozi Wastaafu Wa CCM hivi karibuni.
Anasubiri ashibe kwanza.Wakati huu Jasusi Mbobezi yupo hotel isiyofahamika akiwazoom
Yaani mazee maongo na manafiki kwao ni hazina! Hebu sikia vichehesho vyao!Wanapokelewa wale majizi waliokimbilia ChademaView attachment 1355266
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinsi unavyo kuwa mbogo akitajwa Makonda! Mtu akiwa na mawazo ya harakaharaka atasema ni chepukozChuki yako haita kufikisha popote
Na utaugua kiugulia bure
Makonda yupo leo Mpaka Kesho
Hongera kwa kazi nzuri, hakika vyama vya upinzani vinatakiwa kujifunza zaidi