Lumumba, Dar: Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM imetoa siku 7 kwa Kamati yake ndogo kuwasilisha taarifa ya mahojiano ya Membe, Makamba na Kinana

Ndio utaratibu ulivyo, hakuna namna nyingine hata wenyewe wanajua hivyo.

Haya si maamuzi kama ya wenyeviti wale ambao wanayafanya nyumbani na familia zao.
 
Mwenyekiti alishawahi kushangaa hata Shein Kunyimwa mkono na Maalim na bado Shein akaruhusu Maalim akatibiwe nje kwa gharama za serikali akasema angekua yeye hiiiiiiiiiiiiiiiiiiìiii......

dodge
 
Tatizo ambalo kwa sasa linaleta matatizo hapa nchini/jamiiforums ni kuwa na kundi la wajinga ambao hawajui kama ni wajinga!
Hilo alilosema lina mantiki sana,toka jana nilijua tu kuna watu wamechukizwa na namna kuitwa kule kulivyoleta mjadala hasa wakionekana wahojiwa ndio walidominate!
 
Tatizo ambalo kwa sasa linaleta matatizo hapa nchini/jamiiforums ni kuwa na kundi la wajinga ambao hawajui kama ni wajinga!
Na Mbaya zaidi Wanaonekana Ndio Tegemezi kwa humu jf
Wamekuwa wakipotosha upuuzi wao wana Achwa tu
Huu upuuzi unazidi kuenea kila kukicha
Kila mtu akitaka like au aonekane naye Mjuaji
Nikuleta upumbavu humu
 
Na Mbaya zaidi Wanaonekana Ndio Tegemezi kwa humu jf
Wamekuwa wakipotosha upuuzi wao wana Achwa tu
Huu upuuzi unazidi kuenea kila kukicha
Kila mtu akitaka like au aonekane naye Mjuaji
Nikuleta upumbavu humu
Mtetezi wa ACT-Maendeleo.

dodge
 
Wadau,

Kamati Kuu ya Halmashauri ya Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi inakutana leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.

View attachment 1355238
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli akipokelewa na Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally

View attachment 1355241
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ndg Ali Mohamed Shein akipokelewa na Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally

View attachment 1355244
Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimuongoza Mjumbe wa Kamati Kuu na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu


View attachment 1355247
Katibu Mkuu Ndg Bashiru Ally akimpokea Ndg Kassim Majaliwa, Mjumbe wa Kamati Kuu na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
*****

Nimepita maeneo ya Lumumba muda huu naona shughuli zimekuwa nyingi sana!
Hata barabara inayokatiza mbele ya Lumumba imefungwa kwa muda.

Tusubiri Yatakayojiri!

YALIYOJIRI:
Kamati ya Usalama na Maadili imepewa Siku 7 kukamilisha na kukabidhi Taarifa Ya Mahojiano Yaliyofanywa na Viongozi Wastaafu Wa CCM hivi karibuni.

Kwenye hizo picha nimegundua nidhamu ya woga.

1: Ukimwangaila Bashiru, alipokuwa anasalimiana na Magufuli, Shein anapindisha mgongo-kainama, pia alipokuwa ameshikamana mkono na Samiahutauna pia kainama. Lakini alipokuwa anasalimiana na Majaliwa, AMASIMAMA WIMA. hii ina maana gani?

2: Kwa sababu wametoa tamko hadharani, basi hayo majibu ya hiyo taarifa wayatoe pia hadharani.
 
Kile chama kikuu cha upinzani kinachosubiria mgombea wa urais kinafuatilia kwa makini juu ya maamuzi yatakayofikiwa kuwahusu wale " Wana wa ngurumo"

Kiuhakika kama Membe atavumiliwa na kuendelea kubakia CCM basi litakuwa pigo kubwa sana kwa Chadema.

Kiukweli tunayasubiri kwa hamu kubwa maamuzi ya kihistoria ya chama chetu.

Maendeleo hayana vyama!
Hicho chama kimeishajipanga kumpata mmoja kati ya hao watatu kuwa mgombea wao wa urais 2020!
 
Mwenyekiti alishawahi kushangaa hata Shein Kunyimwa mkono na Maalim na bado Shein akaruhusu Maalim akatibiwe nje kwa gharama za serikali akasema angekua yeye hiiiiiiiiiiiiiiiiiiìiii......

dodge
Nancy Pelos aliyaelewa vizuri maneno ya Mwenyekiti Jiwe ndio maana Trump alipomnyima mkono naye akaichanachana hotuba yake!
 
Back
Top Bottom