Lady has no whether.
Hata kama yupo kwenye hali ngumu atajifanya yupo comfortable tuu lakini ukweli anaujua yeye mwenyewe.
Mahabusu hakuna raha kiasi hiko.
Kila akiona anapigwa picha basi yeye ni 'cheese' tu!!! Na lazima kuna watu watakuwa wanatoa fedha nzuri na kupata vitu vyake huko mahabusu kwani kuna wafungwa wa kike utoka na mimba magerezani!!
Detention could easily rob a person's identity...from somebody to just a certain number recognized by prison authorities.Mhhh! Yale mambo ya kuitafuna dunia kama ice cream yameisha bila kutegemewa. Pole sana Lulu...I learned something from your problems.