Lulu..

hichi kitoto bwana..kina kazi sana ...
 
Mi nilijua kesi yake kwisha!


Kumbe inarindimaga tu?
 
Sasa hapo anakazi gani?, hapo si maisha ya drama yanaendelea kama kawa?
 
Amesha zoea maisha ya jela. Bora aendelee kuishi hukohuko ajifunze, naona hata mavazi yake yamebadilika. ASIYEFUNZWA NA *****...................?
 
Anawapa kazi askari wa kike kwani nao inabidi waende saloon wajirembe ili angalau waonekane.
 
Kameisha zoea jela,yaan kamekua kazur thana,bora kaendelee kukaa 2 huko,kakirud kaje na "COME 4M JELA WTHOT SHIDA"
Chini ya director "KAJALA MATHANJA"
 
HAPA KANAFURAHI KUWA KAKITOKA KANAENDA KUOLEWA NA YULE TUMBO TUMBO KOMBA
Analia!!!![/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…