Naunga mkonoNaamini sasa hizi dini mwenye pesa haambiwi kitu, yani kuna muda huwa hata natamani kuslim maana hawa wenzetu wanazingatia sana maadili ya mwanamke hasa kwenye mavazi , hebu angalia hiyo picha binti kifua kipo wazi hivyo anaruhusiwa vipi kuingia ndani ya kanisa hivyo
Sina wivu jamani ila naangalia uelekeo wetu na kizazi kijacho
View attachment 1703982
Picha kwa hisani ya page ya mwananchi online..
Naamini sasa hizi dini mwenye pesa haambiwi kitu, yani kuna muda huwa hata natamani kuslim maana hawa wenzetu wanazingatia sana maadili ya mwanamke hasa kwenye mavazi , hebu angalia hiyo picha binti kifua kipo wazi hivyo anaruhusiwa vipi kuingia ndani ya kanisa hivyo
Sina wivu jamani ila naangalia uelekeo wetu na kizazi kijacho
View attachment 1703982
Picha kwa hisani ya page ya mwananchi online..
Huyu atakuja kuwa roll model wa mwanao... Hapo ndio utajua yanakuhusuNimefikiria ..mwisho wa siku hayanihisu.
Asante Jesse John.., hii kitaalam inaitwa half-naked-wedding dress style..!Wanamsemo wao kuwa 'Mungu haangaliii mavazi, anaangalia moyo'
Kwako mwaimu Kashasha
Oya sie tushakula ubwabwa wa harusi hayo mengine wanajua wao na Wachungaji waoNaamini sasa hizi dini mwenye pesa haambiwi kitu, yani kuna muda huwa hata natamani kuslim maana hawa wenzetu wanazingatia sana maadili ya mwanamke hasa kwenye mavazi , hebu angalia hiyo picha binti kifua kipo wazi hivyo anaruhusiwa vipi kuingia ndani ya kanisa hivyo
Sina wivu jamani ila naangalia uelekeo wetu na kizazi kijacho
View attachment 1703982
Picha kwa hisani ya page ya mwananchi online..
kwani bado mnakula kungu siku hizi dada mkubwa 😊Sema pia bi kharusi wa siku hizi hawanaga aibu kabisa, mtu anaingia kanisani na shela lake huku anapiga zake kelele 'oyoooh'...!😂
SawaHuyu atakuja kuwa roll model wa mwanao... Hapo ndio utajua yanakuhusu