Mallia
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 437
- 1,530
Naamini sasa hizi dini mwenye pesa haambiwi kitu, yani kuna muda huwa hata natamani kuslim maana hawa wenzetu wanazingatia sana maadili ya mwanamke hasa kwenye mavazi , hebu angalia hiyo picha binti kifua kipo wazi hivyo anaruhusiwa vipi kuingia ndani ya kanisa hivyo
Sina wivu jamani ila naangalia uelekeo wetu na kizazi kijacho
Picha kwa hisani ya page ya mwananchi online..
Sina wivu jamani ila naangalia uelekeo wetu na kizazi kijacho
Picha kwa hisani ya page ya mwananchi online..