KatorikiNi kanisa gani hilo sio kwa tapeli gwaajima
Kawapongeze. Haujakatazwa.Kwa mambo kama haya ninajikuta ninawapongeza sana WAISLAM
ππππKama vile nikotoka kwetu Malawi nakuja kukuposa
Maliza kwa kusema takatifu la mitumekabla sijafungua picha nilijisemea moyoni kuwa una wivu Ila baada ya kufungua itoshe kusema huu so uungwana hasa kwa kanisa katoliki
Nice way to say you are jealous.Nice way to say you have jealous
Acha kupotosha wakati sehemu nyingi wameweka na aina ya mavazi yasiyoruhusiwa/kuruhusiwa kuingia nayo kanisani?!!MK
MKUU VIONGOZI WA KANISA WANACHOHITAJI NI SADAKA TU WEWE HATA UKIENDA UCHI WATAKUAMBIA MUNGU HAANGALII MAVAZI
Yaliyomo Yamo!!Sema pia bi kharusi wa siku hizi hawanaga aibu kabisa, mtu anaingia kanisani na shela lake huku anapiga zake kelele 'oyoooh'...!π
ππππΆπMTU mwenyewe hata siyo wife material
Alifikishe FIFA Hili JamboReport katika kituo cha police kilicho karbu nawe