commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
Source. kipindi dakika 45 ITV LEO SA 3.00 USIKU, BY SEMUNYO(MTANGAZAJI)
ANASEMA
1.ANASEMA MAWAZIRI WALE WALIOJIUZURU SIO WEZI, NI RIPORI TU YA CAG, ZILE NI TUHUMA TU
2.TANZANIA INAFANYA VIZURI kiuchumi KULIKO INCHI ZA DUNIA YA KWANZA
3. ANASEMA SERIKALI INABANA MATUMIZI, NDIO MAANA WATU WANASEMA SERIKALI IMEFIRISIKA
4. ANASEMA WANANCHI WAWE HATA WANA GOOGLE TU KUJUA HALI YA HEWA ILI KUEPUKA MAFURIKO
Duuh, mi nimechoka na huyu mzee, huyo ndio mojawapo ya washauri wa jk... kazi tunayo! Binafsi naona tusahau maendeleo kwa aina hii ya vichwa tulivyovipa madaraka, vituonyeshe njia.
ANASEMA
1.ANASEMA MAWAZIRI WALE WALIOJIUZURU SIO WEZI, NI RIPORI TU YA CAG, ZILE NI TUHUMA TU
2.TANZANIA INAFANYA VIZURI kiuchumi KULIKO INCHI ZA DUNIA YA KWANZA
3. ANASEMA SERIKALI INABANA MATUMIZI, NDIO MAANA WATU WANASEMA SERIKALI IMEFIRISIKA
4. ANASEMA WANANCHI WAWE HATA WANA GOOGLE TU KUJUA HALI YA HEWA ILI KUEPUKA MAFURIKO
Duuh, mi nimechoka na huyu mzee, huyo ndio mojawapo ya washauri wa jk... kazi tunayo! Binafsi naona tusahau maendeleo kwa aina hii ya vichwa tulivyovipa madaraka, vituonyeshe njia.