BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Hivi kwa nini mtu mmoja agawiwe nyadhifa hizi mbili wakati kuna raia wema kibao wanaranda huku na huko kuyatafuta maisha bora kwa kila Mtanga na nyika (Mtanzania). Wana nini cha kipekee ambacho wengine hawana?. Haya mambo yangeishia kwenye CCeM lakini siyo kuletwa hadi serikalini.
Huu ni uroho wa madaraka