Majala Kimolo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 342
- 39
Napendekeza Lukuvi awe mkuu wa mkoa wa D'salaam wa kudumu. Kwani naona anajua kuchokonoa watu sana.
Hivi? yeye ni wa mwanzo? Mbona imekaa kisubjective sana
Wekeni hoja hata kwa Rais kuwa mwenyekiti wa chama. Macho yetu yaone kwa upana kuliko kuweka focus kwa watu. Wekeni hoja majina ya nini?
Hivi? yeye ni wa mwanzo? Mbona imekaa kisubjective sana
Wekeni hoja hata kwa Rais kuwa mwenyekiti wa chama. Macho yetu yaone kwa upana kuliko kuweka focus kwa watu. Wekeni hoja majina ya nini?