Lukuvi: Maendeleo ya kesi ya 'Masogange' huko Afrika Kusini na hii ndiyo ripoti yenyewe...

Nchi hii story/siasa ni nyingi kuliko utendaji,hakuna sehemu ambayo tunasema tumeshinda zaidi ya kurushiana mpira,kitu kipo wazi lakini mzunguko wake utachoka kabisa,waliowatuma wapo na wanajulikana lakini ngojera zake ndio usisikie,kwa mtindo huo hatuwezi kufanikiwa hata kidogo na tutaendelea kuwa masikini mpaka hapo tutakapopata ufahamu wa mambo.
 
Kilo 150 za Methamphetamine zimegeuka kuwa ephedrine overnight!!!!
Wa south wakomae na hao wadada, aibu kubwa sanawewe lukuvi....
 
wewe jiulize watanzania wangapi walikamatwa nchi zanje kabla ya akina MASOGANGE na lukuvi hajawahi kwenda huko wala kuzungumzia.Hapa kuna namna, ule mzigo ni wa kwao!! iko siku watajuta kuharibu uchumi wa nchi yetu huku wao wakijenga majumba ya bilions of shillings.

kuna mabondia walikamatwa shelisheli Lukuvu hatujawahi kumsikia akisema lolote.kuna watu wamekamatwa Brazil na italy lakini hatukuwahi kusikia mwanasiasa yoyote akienda kuwajulia hali na kuanza mipango ya kuwarejesha Nchini.SASA NI DHAHIRI WANASIASA TENA WA NGAZI ZA JUU WAMEINGIA KWENYE BIASHARA HII HARAMU.Na ndio maana kule bungeni lukuvi alikataa kuwataja wauza unga alijua kinacho endelea.
Umeongea ukweli mkuu basi tu kamchina kangu hakaonyeshi vitufe vya like ningekugongea kiongozi
 
nchi hii bwana ..hivi mwakyembe kaishia wapi na mambo yake ya kupambana na kutaja majina ya wauza unga..?maana naona kahamia TPA ...hahaa huyu mzee bana

Aliwakamata wale wa TRA kwa mbwembwe na waandishi magazeti kuwapiga picha kuwa walikuwa wanataka kuyatoa magari ya NANDHO kwa magendo; kesi imeishia wapi mbona wale jamaa wanaendelea na kazi kama kawaida?
 
Ritzmoko alisimamia mwenyewe kampeni ya babake 2010 kwa kutegemea hela ya unga.
Dola inalijua hilo ndio maana serikali yote inafanya kila namna kutudanganya wadanganyika tusiulize zaidi
Mahakama ya madawa ya kulevya?! STUPID!
 
Kitakachotokea ni kesi itaendelea kama kawaida kule kwa Mandiba na hukumu kutolewa - iwe ya kifo au maisha lakini sirikali ya magamba itatumia mbinu za kidiplomasia hukumu "ITEKELEZWE" Tanzamadawa.

Ujasiri wa enzi za kina Napoleon Bonaparte sijui umepotelea wapi na ndo maana dunia inayumba - azaliwe Napoleon Tanzania tuanze upya
 
Kuna haja gani kwa serikali kuingia gharama kupeleka maofisa wake sehemu husika kwa watu wanaojihusisha na madawa???

Kikwete is on record akiwahutubia watanzania walioko nchi za nje kuheshimu sheria za huko wanakoishi kwani serikali yake isingeweza kuwatetea kwa uvunjifu wa sheria huko waliko!!! Inakuwaje leo inapeleka watu South Africa kuwatetea wauza madaya ya kulevya kama serikali yemyewe/ watumishi wake hawahusiki?
 
Ritzmoko alisimamia mwenyewe kampeni ya babake 2010 kwa kutegemea hela ya unga.
Dola inalijua hilo ndio maana serikali yote inafanya kila namna kutudanganya wadanganyika tusiulize zaidi
Mahakama ya madawa ya kulevya?! STUPID!
 
ukistajabu ya Musa utaona ya Firauni... mburaaa

Tz ni zaidi ya tuijuavyo
 
wewe jiulize watanzania wangapi walikamatwa nchi zanje kabla ya akina MASOGANGE na lukuvi hajawahi kwenda huko wala kuzungumzia.Hapa kuna namna, ule mzigo ni wa kwao!! iko siku watajuta kuharibu uchumi wa nchi yetu huku wao wakijenga majumba ya bilions of shillings.

kuna mabondia walikamatwa shelisheli Lukuvu hatujawahi kumsikia akisema lolote.kuna watu wamekamatwa Brazil na italy lakini hatukuwahi kusikia mwanasiasa yoyote akienda kuwajulia hali na kuanza mipango ya kuwarejesha Nchini.SASA NI DHAHIRI WANASIASA TENA WA NGAZI ZA JUU WAMEINGIA KWENYE BIASHARA HII HARAMU.Na ndio maana kule bungeni lukuvi alikataa kuwataja wauza unga alijua kinacho endelea.
Wameamua kubuni ujasiriamali mpya baada ya mianya ya EPA and the like kuzibwa wakati 2015 iko mlangoni tayari japo viongozi binafsi wanaonekana kunufaika zaidi ya chama chenyewe. Tatizo ujasiriliamali waliobuni side effects zake ni mbaya sana maana tembo wanaisha, nchi inagawiwa (refer balozi anayesimama majukwaani Shinyanga) na hivi vijana wetu wanaishia magerezani na wengine kuwa mateja. Sijui wananchi wapenda haki tufanyeje badala ya kusubiri Mungu ndiye atoe hukumu!?

 
Kilo 150 za Methamphetamine zimegeuka kuwa ephedrine overnight!!!!
Wa south wakomae na hao wadada, aibu kubwa sanawewe lukuvi....

Sheryl Cwele, wife of the current minister of state security, is serving a jail sentence having been found guilty of involvement in drugs trafficking. So it's possible there are SA top officials involved in Masogange case as well
 
Kuna haja gani kwa serikali kuingia gharama kupeleka maofisa wake sehemu husika kwa watu wanaojihusisha na madawa???
Tena ni South Africa tu, siyo Ethiopia, Dubai, Brazili au Hong Kong!

Hili jambo limewekewa ulinzi mzito sana, waziri wa mambo ya nje na mambo ya ndani hawatakiwi kuliongelea.
Aliyepewa jukumu ni waziri wa utawala bora. Lukuvi ana update zote za akina Masogange.
Nzowa kaenda mwenye si Hong Kong au Brazil, kateremka South kwa ajili ya vijana 2 wa kitanzania.

Kuna mahali palisemwa kuwa pale Airport alikuwepo mtu mwenye uhusiano wa karibu sana na ''mtoto wetu''
Jitihada za akina Lukuvi ni wazi kuna jambo, akina Masogange siyo wa kuachiwa wasema na kila mmoja tunaweza kusikia mambo ya kustaajabisha na kutia aibu sana katika dunia. Nzowa na Lukuvi wameambiwa funga juu na chini habari hii.

Smell rat big time
 

Nyie endeleeni kujadili maada mimi nimedata na huyu dada... Mzuri sana huyu anafaa kwa kutokea hapa lazima JK ajishughulishe kwa kodi za wenye nchi hata mi ningefanya hivyo.
 
Kilo 150 za Methamphetamine zimegeuka kuwa ephedrine overnight!!!!

KAMA NI DAWA ZAKUTIBU VIFUA,,,KWANINI SERIKALI ISINGEWASHAURI WAZISAMBAZE KWENYE HOSPITALI ZETU HUKU MAKETE,,MAANA WATOTO HAWALALI KWA AJILI YAKUUMWA VIFUAA

HIII NDIO TANZANIA
 
Back
Top Bottom